Kata ya Butimba Yaibuka Kidedea Mashindano ya Polisi Jamii Cup 2023-Mwanza
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Mkoa wa Mwanza (SACP) Wilbrod Mutafungwa leo Aprili 30, 2023, ameshiriki fainali ya...
SERIKALI KUTOA KODI KWENYE VIFAA VYA WATU WENYE MAHITAJI MAALUUM
Na Farida Ramadhani, WFM – Dodoma.
Serikali imesema kuwa inatoa msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na ushuru wa forodha kwenye vifaa vilivyotengenezwa...
DC-MBULU AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI KATIKA NGAZI YA WILAYA.
Katika kuadhimisha siku ya wafanyakazi Duniani ambayo uadhimishwa kila tarehe 1 Mei ya kila mwaka,Mkuu wa wilaya ya Mbulu Komred Kheri James amejumuika na...
MAKAMU WA RAIS AKIAGA MWILI WA MTUMISHI WA OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAY...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe 1 Mei 2023 katika...
MHE. RAIS WA ZANZIBAR APONGEZWA KWA KUPANDISHA VIWANGO VYA PENSHENI
NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar,kinampongeza kwa dhati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi,kwa maamuzi yake ya kupandisha...
MUSOMA VIJIJINI YAJIPANGA KUKAMILISHA UJENZI WA SEKONDARI 3 MWAKANI
Na Shomari Binda-Musoma
JIMBO la Musoma vijijini limejipanga kukamilisha ujenzi wa shule 3 za sekondari na kuongeza idadi ya shule hizo ifikapo januari mwakani.
Shule zinazotarajiwa...
KATIKA KILA VIZAZI HAI 160 MTOTO MMOJA HUZALIWA NA USONJI TANZANIA – WAZIRI UMMY
Na. WAF - Dar es Salaam
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonesha kwamba...











