MSTAHIKI MEYA ASISITIZA VIJANA WA TEMEKE KUSAIDIWA KIBIASHARA
Na Mwandishi Wetu
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), imesisitizwa kusaidia vijana wa Wilaya ya Temeke ili waweze kurasimisha biashara zao.
Kauli hiyo imetolewa...
SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUVIJENGEA UWEZO VIWANDA VYA NDANI VINAVYOZALISHA SARUJI
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (kulia) akizungumza na wazalishaji na wasambaji wa saruji nchini, alipokutana nao leo Mei 21,...
RAIS DKT. MWINYI KUSHIRIKI JUKWAA LA KIMATAIFA LA TATU LA UCHUMI NCHINI QATAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar leo tarehe 21 Mei 2023 kuelekea nchini Qatar kumwakilisha...
MUWASA YAPOKEA BOMBA KUSAMBAZIA MAJI MITAA SABA
Na Shomari Binda-Musoma
MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Musoma (MUWASA) imepokea bomba kwa ajili ya usambazaji maji mitaa 7 ya pembezoni.
Zoezi la...
HUDUMA YA NBC CONNECT YAZINDULIWA RASMI KANDA YA ZIWA
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Bulandya Elikana, akizungumza na wateja wa benki ya NBC wakati wa kuzindua huduma ya NBC Connect kwa kanda...








