MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MKUTANO NCHINI BURUNDI MAY 06
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 06 Mei 2023 amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano...
SERIKALI: ZOEZI LA UWEKAJI MIPAKA HIFADHI YA SERENGETI LILIKUWA SAHIHI
Na Shomari Binda-Tarime
SERIKALI imesema kuwa zoezi la uwekaji wa vigingi vya alama ya mipaka kwenye vijiji Saba vya Wilaya ya Tarime vinavyopakana na Hifadhi...
TEKELEZENI MAJUKUMU KUINUFAISHA SERIKALI
Watumishi wapya wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (OWMS) wametakiwa kutumia elimu waliyoipata na fursa ya ajira ya Serikali kutekeleza majukumu yao kwa...
DC JOKATE, WAFANYABIASHARA, WAKULIMA MKONGE KOROGWE WAONA FURSA BANDARI YA TANGA
Boniface Gideon, TANGA
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Jokate Mwegelo ameongozo jopo la Wafanyabiashara na Wadau wa Maendeleo zikiwemo Benki mbalimbali pamoja na...
WAZIRI DKT. PINDI APOKEA TAARIFA HITILAFU YA UMEME UWANJA WA MKAPA
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana leo Mei 6, 2023 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, amepokea taarifa ya Kamati...
WIZARA ZA ELIMU NA UTAMADUNI ZIWASAIDIE VIJANA KUMFAHAMU ZAIDI MWL. NYERERE – MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka Wizara za Elimu, Sayansi na Teknolojia na ile ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ziandae utaratibu utakaosaidia vijana kujifunza na...
MAKAMU WA RAIS AKIWASILI IKULU YA BURUNDI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Ikulu ya Bujumbura nchini Burundi na kupokelewa na Rais...












