Makala aitaka NEMC kutoa Elimu zaidi juu ya madhara mlio Mkubwa kwenye miziki
MKUU wa Mkoa wa Mwanza Amos Makalla ameitaka Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kutowafungia biashara wenye kumbi za Miziki na Burudani...
MAGANYA, RC MTAKA WAHUDHURIA MAZISHI YA HERMAN KIRIGINI
Na Shomari Binda-Butiama
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Fadhili Maganya na mkuu wa mkoa wa Njombe,Antony Mtaka, wameongoza waombolezaji kwenye mazishi ya Herman Kirigini.
Marehemu...
MKUU WA WILAYA YA KOROGWE JOKATE APOKEA VIFAA VYA MSAADA VYA HOSPITALI KUTOKA CLUB...
Na Magrethy Katengu
Wadau, Kampuni, Taasisi za serikali na zisizo za kiserikali, Mashirika na Mtu binafsi wameshauriwa kuwa na moyo wa kutoa sehemu ya hali...
RC MPYA MANYARA, AITEMBELEA WILAYA YA MBULU
Ikiwa ni siku moja tu baada ya kuwasili mkoani Manyara kuyaanza majukumu yake. Mkuu mpya wa mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga amefanya ziara...
NCHI 5 ZAONGEZEKA KUJISAJILI KUSHIRIKI MAONYESHO YA 47 KIMATAIFA TAN TRADE
Na Magrethy Katengu
Idara ya Ukuzaji biashara TanTRADE imesema mpaka sasa katika Maonesho ya biashara ya kimataifa ya 47 nchi 5 zimeongezeka kujisajili katika maonyesho...








