MRADI WA KUBORESHA MIJI 45 (TACTIC) KUANZA MWEZI AUGUST
Uboreshaji wa Miundombinu katika miji 12 kati 45 ambayo inanufaika na mradi wa TACTIC unatarajiwa kuanza Agosti, 2023 kufuatia Benki ya Dunia (WB) kuridhia...
Mfumo wa kukusanya Mapato kufika sehemu zote nchini
Na Neema Kandoro Mwanza
Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) inakusudia kufikisha mfumo wa ukusanyaji wa mapato kwa njia...





