Friday, June 26, 2026
Home 2023 May 15

Daily Archives: May 15, 2023

RAIS SAMIA AHAMISHA WAKUU WA MIKOA WANNE

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya Uhamisho wa baadhi ya wakuu wa Mikoa; Mwanza, Morogoro,  Kagera na...

WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAKUBALI KUENDELEA NA BIASHARA

0
https://youtu.be/FBLEtA4LJVk *Majaliwa aagiza kuondolewa kwa kikosi kazi ‘Task Force’ ya Mamlaka ya Mapato Tanzania. Jumuiya ya Wafanyabiashara wa soko la Kimataifa la Kariakoo wamekubali kuendelea kufanya...

WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAKUBALI KUENDELEA NA BIASHARA

0
Jumuiya ya Wafanyabiashara wa soko la Kimataifa la Kariakoo wamekubali kuendelea kufanya biashara katika soko hilo baada ya Serikali kuridhia kuendelea kutatua changamoto mbalimbali...

TIGO WASAINI MKATABA KUPELEKA MAWASILIANO KATA 371 , AWAMU YA NANE

0
Na Mwandishi Wetu. Kampuni namba moja inayoongoza kwa utoaji wa huduma za Kidigitali nchini Tigo imesaini  mkataba mpya wa awamu ya 8 wa kufikisha huduma...

Serikali Kupunguza Gharama za Kusafisha Figo

0
Na Jacquiline Mrisho -   MAELEZO Serikali imedhamiria kupunguza gharama za kusafisha figo kutoka Shilingi 350,000 mpaka  Shilingi 90,000 hadi 150,000 kwa lengo la kuwapunguzia wananchi...

MAFUNZO YA MFUMO WA GAMIS KUTOLEWA KWA TAASISI ZA UMMA

0
Na. Eva Valerian na Peter Haule, WFM, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bi. Jenifa Omolo, ameziagiza Ofisi za Mikoa za...

SERIKALI KUBORESHA USIMAMIZI WA BIASHARA ZA MTANDAO

0
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) alikijibu swali, bungeni jijini Dodoma. Na. Saidina Msangi, WFM, Dodoma      Serikali imesema kuwa imeanzisha kitengo...

WANAFUNZI SHULE YA MUSOMA WAFIKISHIWA ELIMU YA MAADILI

0
Na Shomari Binda-Musoma KAMPENI ya Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania ( SMAUJATA) mkoa wa Mara imeendelea na ziara ya kuzifikia shule na...