Sunday, June 28, 2026
Home 2022 September

Monthly Archives: September 2022

NMB YAZINDUA TAWI JIPYA JIJINI TANGA

0
Na Boniface Gideon, TANGA BENKI ya NMB imezindua Tawi Jipya lililopo Katikati mwa Jiji la Tanga kata ya Majengo na kupewa jina la NMB...

WADAU WA SEKTA MBALIMBALI WAMEKUTANA NA BRELA ILI KUREKEBISHA SHERIA YA LESENI

0
Na Magreth Mbinga Sheria za biashara hazitakiwa kuwa mgando zinatakiwa ziendane na mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa kama hali inavyoendelea Duniani na Nchini. Hayo yamezungumzwa na...

SATELAITI KUENDELEA KUBORESHA TAARIFA ZA HALI YA HEWA.

0
Dar es Salaam; Serikali imewahakikishia wadau wa hali ya hewa nchini kuwa itaendelea kuboresha miundombinu na watalaam wake ili kuhakikisha usahihi wa taarifa za hali...

TATIZO LA AFYA YA AKILI CHANZO CHA VITENDO VYA UKATILI

0
Na Magrethy Katengu Licha ya Jitihada zinazofanywa kuhakikisha vitendo vya ukatili vinapungua lakini hali bado inazidi kuwa mbaya huku chanzo kinachosababisha ni Mtu kuwa na...

RAIS DKT.MWINYI AWAPONGEZA CHUO CHA MAJI

0
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amekipongeza Chuo cha Maji na kumtaka...

SERIKALI KUWAONDOLEA ADHA YA MAJI WANANCHI WA JIJI LA MWANZA

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Philip Isdor Mpango amesema Serikali imedhamiria kuwaondolea adha ya maji wananchi wa Jiji...

WAZIRI MKENDA AZINDUA MRADI WA HEET UTAKAONUFAISHA VYUO 14

0
Na Magrethy Katengu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema Serikali itahakikisha inawasomesha Wahadhiri wa Vyuo Vikuu nje ya nchi Ili kusaidia...

NMB KUSOMESHA WATOTO WANAOTOKA KAYA DUNI ELIMU YA JUU

0
Na Yusuph Mussa, Mbeya BENKI ya NMB imepanga kusomesha elimu ya juu kwa watoto wanaotoka kwenye kaya zenye mazingira magumu ikiwemo wenye kipato duni. Nia...

SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAJASRIAMALI NA WAFANYABIADHARA KUWAWEZESHA KIUCHUMI

0
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema itahakikisha bajeti inayotengwa na kuelekezwa katika Halmashauri kuwawezesha Wafanyabiashara na Wajasrimali inawafikia moja kwa moja ili...