MIAKA MINNE YA ALEXANDER KEKI ASHEREHEKEA NA WATEJA WAKE KUONJA KEKI BURE
VIJANA watakiwa kujikita katika nguvu kazi ya mikono yao kupata vipato vya halali ili kuepuka uhalifu na uharamia unaosababisha majanga kwa jamii na taifa...
NMB KUFADHILI MASOMO YA ELIMU YA JUU KWA WANAFUNZI 100.
Na Elizabeth John,Njombe.
Benki ya NMB imekuja na mpango wa kufadhili masomo ya elimu ya juu kwa wanafunzi 100 wanaotoka mazingira magumu ambao wanafanya vizuri...





