KINANA APOKEA MALALAMIKO YA WAVUVI, AAHIDI KUPATIWA UFUMBUZI.
Mwanza
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amepokea malalamiko 13 ya wavuvi wa samaki katika Ziwa Victoria ikiwemo...
WAZIRI BASHUNGWA AMEZIAGIZA HALMASHAURI KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZA DINI ZINATOTOA HUDUMA ZA AFYA NCHINI.
OR TAMISEMI - Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa amewaagiza Wakurugenzi na Waganga Wakuu...
WAZAZI WAJENGEENI WATOTO UTAMADUNI WA KUSOMA VITABU ILI VIWAONGEZEE UJUZI
Na Magrethy Katengu
Wazazi wameshauriwa kuwajengea watoto Utamaduni wa kusoma vitabu ili viwasadie kuongeza ujuzi kutatua changamoto mbalimbali zinazoikabili Jamii ikiwemo kiuchumi,kijamii kisiasa .
Ushauri huo...
WAZIRI MKENDA AITAKA TIMU YA KUCHUNGUZA UTOAJI MIKOPO ELIMU YA JUU KUMALIZA KAZI NDANI...
Na Mathias Canal, WEST-Dar es salaam
Timu ya watu watano imeanza kazi rasmi leo tarehe 5 Septemba 2022 ya kufuatilia utoaji mikopo kwa kipindi cha...
SERIKALI ITAENDELEA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA
Serikali kupitia Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazimgira Dakta Seleman Jafo, imesema itaendelea kusimamia utekelezaji wa Sheria ya utunzaji...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MASUALA YA UKIMWI YARIDHISHWA NA MRADI WA TIMIZA...
Na Mwandishi Wetu – Morogoro
Kamati ya Kudumu ya Bunge inayosimamia Masuala ya UKIMWI, Kifua Kikuu , Dawa za Kulevya na Magonjwa yasiyoambukiza imeridhishwa na...










