Saturday, June 27, 2026
Home 2022 August

Monthly Archives: August 2022

NAIBU KATIBU MKUU MPANJU AIOMBA SIMBA KUTOA ELIMU KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI KWA...

0
Na WMJJWM, Dar Es Salaam Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju ameiomba Klabu ya Mpira inayoshiriki...

AWESO AJIRIDHISHA UTOSHEVU WA MAJI BWAWA LA MTERA.

0
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) mapema leo amefika katika Bwawa la Maji la Mtera na kujiridhisha na kiwango cha maji kilichopo katika...

SASA RASMI KARATU BEI YA MAJI NI SH,1,300 KWA UNIT MOJA.

0
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) ametatua mgogoro uliodumu kwa muda mrefu wilayani Karatu baada kuagiza bei ya maji iwe shs 1,300 kwa...

TANZANIA KUJIFUNZA UENDESHAJI MIRADI YA MAJI KWA KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI.

0
Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) ameambata na wataalam wa Wizara ya Maji, RUWASA, Wizara ya Fedha na Mipango, OR-TAMISEMI na...

SH. MILIONI 100 KUSHINDANIWA CRDB BANK MARATHON

0
Ikiwa zimebaki siku 12 kuelekea msimu wa tatu wa CRDB Bank Marathon tarehe 14 Agosti 2022, imeelezwa kuwa jumla ya zawadi za shilingi milioni...

MAJALIWA: FUATENI NA SIMAMIENI FALSAFA YA RAIS SAMIA

0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka washiriki wa kozi fupi ya 13 ya viongozi watambue, wafuate na waisimamie falsafa ya Serikali ya awamu ya sita...

BASHUNGWA: TUPO TAYARI KUFIA SITE KULIKO KUMUANGUSHA RAIS SAMIA

0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amesema wako tayari kuifia site kuliko kumuangusha Rais Samia...

WAZIRI NDALICHAKO AELEKEZA UKAGUZI MAALUM, UKARABATI WA CHUO CHA WATU WENYE ULEMAVU YOMBO.

0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu -Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Prof. Joyce Ndalichako ameelekeza kufanyika kwa Ukaguzi Maalum juu ya matumizi...

MHE. DITOPILE ATETA NA MADEREVA BODABODA NA BAJAJI, KONDOA

0
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amekutana na Madereva Bodaboda na Bajaji wa Halmashauri ya Mji wa Kondoa ili kuwahamasisha kutoa...