Saturday, June 27, 2026
Home 2022 August 20

Daily Archives: August 20, 2022

UKARABATI UWANJA WA MPIRA WA MAJALIWA WAFIKIA ASILIMIA 98

0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ukarabati mkubwa uliofanyika kwenye uwanja wa Mpira wa Miguu wa Majaliwa uliopo Ruangwa mkoani Lindi umekamilika kwa asilimia 98...

TIGO WAZINDUA DUKA LA KISASA MKOANI IRINGA

0
Mwandishi Wetu. KAMPUNI namba moja kwa utoaji wa huduma za Kidigitali nchini , Tigo Tanzania Leo Agosti 19 , 2022 imezindua duka jipya na la...

BASHUNGWA AHIMIZA WANANCHI KUSHIRIKI NA KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO.

0
Na OR-TAMISEMI, Karagwe Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Innocent Bashungwa amewahimiza wananchi kushiriki katika shughuli za...

WATUMISHI WOTE NCHINI WAKAHESABIWE ILI KUTOA TAKWIMU AMBAZO NI SAHIHI

0
Mbunge wa viti maalumu  Janejelly  Ntante  anayewakilisha wafanyakazi amewataka watumishi wote nchini wakahesabiwe ili kutoa takwimu ambazo ni sahihi zitakazoisaidia  serikali kuleta maendeleo, ameyasema hayo...

UGONJWA WA USUBI NCHINI TANZANIA KUTOKOMEZWA IFIKAPO 2030

0
Na. WAF - Dar es Salaam Mkutano wa ushauri wa kitaalamu wa kutokomeza ugonjwa wa USUBI nchini umemalizika kwa kukubaliana na kushauriana mbinu zitakazo wezesha...

RIDHIWANI AKABIDHI MASHAMBA 11 YALIYOSHINDWA ENDELEZWA KWA WANANCHI KILOSA KWA NIABA YA RAIS SAMIA...

0
Na Mwandishi wetu… Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Ridhiwani Kikwete amewahimiza viongozi wa Wilaya ya Kilosa kusimamia mpango...

BRELA YAWAJENGEA UWEZO MAOFISA BIASHARA KANDA YA KASKAZINI

0
Maofisa Biashara wametakiwa kuwa na tabia ya kuwatembelea Wafanyabiashara katika maeneo yao ili kuweza kuibua na kujua changamoto zao badala ya kuwatembelea wakati wa...

WATENDAJI WAHIMIZWA KUONGEZA KASI UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFDP

0
Na Mwandishi wetu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene amehimiza kuwa na vikao vya uratibu vya pamoja...

NSSF YAJIPANGA KUWAFIKIA SEKTA ISIYORASMI KIKAMILIFU

0
Na Emmanuel Kawau Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii NSSF umewataka wafanyakazi wa sekta binafsi na wale wasio na sekta rasmi kujiunga na mfuko...