UWT NA APS WAGAWA TAULO ZA KIKE
Na Mwandishi wetu, Mzawa Online
Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Kata ya kunduchi kwa kushirikiana na Kampuni ya APS leo wametoa msaada wa Taulo za...
BAKWATA YATANGAZA RASMI MASHINDANO YA QURANI TUKUFU
Na Magrethy Katengu
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Muhammad wa sita ya Maulamaa wa bara la Afrika wametangaza rasmi...
WANASIMBA WAKO TAYARI KUSHIRIKI SENSA
Furaha na hamasa ya wanasimba leo hii katika kilele cha "Simba Day" ni kuwataka watanzania wote kushiriki katika zoezi la Sensa ya watu na...
ASKOFU DKT. BROWN MWAKIPESILE AHIMIZA WAUMINI KUSHIRIKI ZOEZI LA SENSA KIKAMILIFU.
NA.MWANDISHI WETU
Askofu Mkuu wa Kanisa la E.A.G.T nchini Dkt. Brown Abel Mwakipesile amewaasa washirika wa kanisa hilo kushiriki kikamilifu katika zoezi la Sensa ya...
Tigo Zantel Zanzibar International Marathon yamalizika Visiwani Zanzibar
Baadhi ya washiriki wa Tigo - Zantel International Marathon wakiwa tayari kuanza mbio ...
DIPLOMASIA YA KIUCHUMI YA RAIS SAMIA YAING’ARISHA TANZANIA,YAPATA DOLA MIL 925 KUENDELEZA ELIMU-WAZIRI MKENDA
Na Mathias Canal, Kyela-Mbeya
Diplomasia ya kiuchumi iliyofanywa na inayoendelea kufanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ndani na...
SERIKALI YAWATAKA WENYE VIWANDA KUIJALI NA KUILINDA NGUVU KAZI.
Serikali imewataka wamiliki wa viwanda nchini kujali na kulinda nguvukazi inayotumika katika uzalishaji ili na uzalishaji endelevu wenye tija kwa maendeleo endelevu.
Tamko hilo limetolewa...










