RAIS SAMIA ATANGAZA SIKU YA SENSA NI MAPUMZIKO
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameridhia kuwa tarehe 23 Agosti ambayo ni siku...
DEREVA WA DALADALA MBARONI TUHUMA ZA KUMUUA MPENZI WAKE
Na Magrethy Katengu
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamataMaarifa Hadith Matala (45), Dereva wa daladala, mkazi wa Kimara Suka Golani Wilaya...
WATAALAMU WABOBEZI WA MAGONJWA YA NTDs WA NDANI NA NJE WAKUTANA DAR
Na Mwandishi Wetu,DSM
WATAALAMU mbali mbali Wabobezi katika Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele ya Usubi,Matende na Mabusha,Trakoma, Kichocho na Minyoo (NTDs), wamekutana Dar es Salaam kushauri...
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MIKUTANO YA MABARAZA YA MAWAZIRI WA MAJI WA BONDE LA...
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepewa heshima ya kuandaa mikutano ya mabaraza ya Mawaziri wa maji wa bonde la Mto Nile.
Akizungumza na waandishi wa...
WAZIRI MASAUNI AAGIZA UCHUNGUZI MAUAJI YA WATU 2 KIJIJI CHA LUSANA
Boniface Gideon, KILINDI
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhamdisi Hamad Masauni ameagiza uchinguzi ufanyike kwa watu waliohusika na mauaji ya watu wawili yaliyotokea...
TIC 2021/2022 IMEFIKIA ONGEZEKO LA WAWEKEZAJI ASILIMIA 14.6
Na Magrethy katengu
Kituo Cha Uwekezaji TIC kimesema katika kipindi Cha mwaka 2021Juni hadi Julai 2022 kimefanikiwa kusajili miradi 274 ikilinganishwa na miradi 234 katika...









