MENEJA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA AONDOLEWA
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imemwondoa Meneja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Gordon Nsajigwa kwa kushindwa kusimamia matumizi endelevu ya uwanja huo.
Wizara imesema...
RAIS SAMIA KACHANGIA BILIONI 10.7 UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA NJOMBE
Mapema leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi ya maendeleo Mkoani...
WACHEZAJI WA YANGA : TUKO TAYARI KUHESABIWA, KWA MAENDELEO YA WANANCHI
Wachezaji wa Klabu ya Yanga, wamewasihi wapenzi wa soka nchini na Watanzania wote kwa ujumla kushiriki zoezi la Sensa litakalofanyika Agosti 23, 2022.
Wakizungumza kwa...
WADAU WA KILIMO WAHIMIZWA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO
Na Mwandishi wetu
Serikali imetoa rai kwa wadau wa kilimo kuendelea kutambua Ubunifu na Teknolojia mpya zinazooneshwa katika maonesho ya Nanenane ili kuweza kuzikuza na...







