HUDUMA JUMUISHI ZA TIBA ASILI NA TIBA ZA KISASA KUANZA KUTOLEWA NCHINI.
Na.Catherine Sungura, Morogoro
Serikali imeanza utoaji wa huduma jumuishi za tiba asili na tiba za kisasa katika vituo vya Momela Wilaya ya Meru mkoani Arusha...
NIMR YATAKIWA KUFANYA TAFITI ZITAKAZOTOA MAJIBU YA CHANGAMOTO ZA AFYA ZA WANANCHI
Na Englibert Kayombo - WAF, Bungeni Dodoma.
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya...
WAGONJWA WA HIMOFILIA WAKUMBWA NA CHANGAMOTO ZA KUKOSA FEDHA ZA MATIBABU
Na Magrethy Katengu
Watu wanaosumbumbuliwa na Ugonjwa Himofilia wanakumbana na changamoto ikiwemo gharama kubwa ya matibabu, Madaktari kuchukua muda mrefu kugundua na baadhi ya hospitali...
TUCHANGAMKIE FURSA ZIPATIKANAZO KUPITIA DIPLOMASIA YA UCHUMI-BALOZI, PROF. KILANGI.
Balozi wa Tanzania Nchini Blazili Mhe.Prof Adelardus Kilangi, amewataka Watanzania kuchangamkia fursa zinazopatikana kupitia Diplomasia ya uchumi katika ujumla wake.
Akizungumza na wanahabari kwa njia...
TMDA YATAJA KEMIKALI SUMU ZAIDI YA 90 KATIKA BIDHAA ZA TUMBAKU
Na Andrew Chale, Dar es Salaam, MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba , imebainisha kuwa, bidhaa za tumbaku zina Kemikali sumu mbalimbali ikiwemo zinazosababisha Magonjwa...
TMA YAONGEZA WIGO WA UTOAJI TAARIFA KUSAIDIA WAKULIMA KATIKA UZALISHAJI
Na Magrethy Katengu
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema imeendelea kuongeza wigo wa utoaji taarifa za hali ya hewa kwa maeneo madogo madogo,...









