Mbunge wa viti maalumu Janejelly  Ntante  anayewakilisha wafanyakazi amewataka watumishi wote nchini wakahesabiwe ili kutoa takwimu ambazo ni sahihi zitakazoisaidia  serikali kuleta maendeleo, ameyasema hayo kwenye zoezi la utoaji elimu ya sensa ya watu na makazi katika viwanja vya Kilungule Temeke.