Home Kitaifa WATUMISHI WOTE NCHINI WAKAHESABIWE ILI KUTOA TAKWIMU AMBAZO NI SAHIHI

WATUMISHI WOTE NCHINI WAKAHESABIWE ILI KUTOA TAKWIMU AMBAZO NI SAHIHI

Mbunge wa viti maalumu  Janejelly  Ntante  anayewakilisha wafanyakazi amewataka watumishi wote nchini wakahesabiwe ili kutoa takwimu ambazo ni sahihi zitakazoisaidia  serikali kuleta maendeleo, ameyasema hayo kwenye zoezi la utoaji elimu ya sensa ya watu na makazi katika viwanja vya Kilungule  Temeke.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!