WAZIRI MKUU AZINDUA JENGO LA EMD MASWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua jengo la wagonjwa wa dharura kwenye hospitali ya wilaya ya Maswa ambalo limegharimu sh. milioni 311.
Akizungumza na mamia ya...
KUELEKEA KIKAO KAZI CHA 18 CHA TAGCO KESHO, NAIBU KATIBU MKUU SELESTINE KAKELE AKAGUA...
NA KHALFAN SAID
MAANDALIZI
ya mwisho ya Kikao Kazi cha 18 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano Serikalini
(TAGCO) kinachoanza kesho Jumatatu Machi 27, 2023 jijini Dar...
KAMATI YA BUNGE: HAKUNA MUDA WA KUONGEZWA UJENZI WA DARAJA LA JPM (KIGONGO –...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Balozi Mhandisi Aisha Amour amemtaka mkandarasi anayejenga mradi wa Daraja la JPM ( Kigongo- Busisi) Mkoani...
VIONGOZI WA KAMATI YA AMANI WAPONGEZA OFISI YA MKUU WA MKOA KUANZA KUCHUKUA HATUA...
Viongozi wa Kamati ya Amani ya Mkoa wa Mwanza Dkt.Jacob Mutashi na Askofu Robert Bundala wameipongeza Serikali ya Mkoa huo kwa kuanza kuchukua tahadhari...
WAZIRI UMMY AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU UGONJWA WA MARBUG ASISITIZA JUHUDI ZA KUUDHIBITI ZINAENDELEA...
Na Theophilida Felician, Kagera
Waziri wa afya Ummy Mwalimu ameuhakikishia umma kuwa jitihada za Serikali chini ya wizara ya Afya katika kuudhibiti mlipuko wa ugonjwa...
SERIKALI KUBORESHA HUDUMA KWA WATALII ILI KUWAFANYA WAWEZE KUKAA SIKU NYINGI ZAIDI
Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imejipanga kuboresha huduma kwa watalii katika nyanja mbalimbali ili kuvutia watalii wengi zaidi ikiwa ni mkakati mahsusi...
SERIKALI YA TANZANIA YAKABIDHI MISAADA YA KIBINADAMU KWA SERIKALI YA MALAWI
NA: mwandishi wetu
Balozi wa Tanzania Nchini Malawi Mhe. Humphrey Polepole ameshiriki katIka zoezi la kukabidhi misaada ya Kibinadamu kutoka Tanzania kwa Serikali ya Malawi...
HAKUNA ONGEZEKO LA MGONJWA MPYA WA MARBURG
-Watatu waliothibitika wanaendelea na matibabu
Na. WAF - Kagera, Bukoba
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hadi kufikia leo tarehe 25 Machi, 2023 hakuna wagonjwa...
WIZARA YA MADINI NA WIZARA YA MALIASILI KUANDAA MIONGOZO YA UCHIMBAJI MADINI HIFADHINI
Katavi
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameeleza kuwa Wizara ya Madini na Wizara ya Maliasili na Utalii zitashirikiana kuandaa Miongozo ya Uchimbaji wa...
MAMA JANETH MAGUFULI ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA CONGO
Mama Janeth Magufuli, Mjane wa aliyekuwa Rais wa awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Hayati John Pombe Magufuli ametunukiwa Tuzo ya...













