MAKANGULA: SITOWEZA KUWAVUMILIA VIONGOZI AMBAO HAWATEKELEZI WAJIBU WAO
Uongozi wa Umoja wa vijana wa CCM wilaya ya Ubungo (KAMATI YA UTEKELEZAJI) chini ya Mwenyekiti wake shadrack Makangula Leo umeanza ziara yake rasmi...
MAKAMU WA RAIS AZINDUA TAARIFA YA UTENDAJI WA MAMLAKA ZA MAJI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amewataka Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kutumia...
MBETO: ASISITIZA VYOMBO VYA HABARI KUTOA TAARIFA SAHIHI.
NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.
KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Zanzibar, Khamis Mbeto Khamis, amevisihi vyombo vya habari nchini kuongeza kasi...
MIAKA MIWILI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA UMELETA MAFANIKIO CHANYA WCF
Na mwandishi wetu, Dodoma
KUMEKUWEPO na maendeleo chanya katika utekelezaji wa majukumu ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF) kutokana na mabadiliko ya Kisera ya...
TAIFA STARS KUBEBA MILIONI 500 IKIFUZU FAINALI AFCON
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema Serikali itatoa kiasi cha Shilingi Milioni 500 endapo timu ya Taifa ya...
MWENYEKITI UVCCM TAIFA AFUNGA MAFUNZO YA UJASILIAMALI MKOANI TABORA
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa na mjumbe wa kamati kuu(MCC) Ndugu. Mohammed Kawaida amefunga mafunzo ya ujasiliamali yaliokuwa yanasimamiwa na Mkuu wa...
WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO MATANO KUKITANGAZA KISWAHILI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka waandishi wa habari na wadau wote wa Kiswahili waweke mkakati wa pamoja wa kuitangaza lugha hiyo nje ya nchi.
Mbali...
TAKA ZA VIFAA VYA KIELETRONIKI ZAZIDI KUONGEZEKA NA KUWA TATIZO KIMAZINGIRA
Na Magrethy Katengu
Licha ya kuwepo na Udhibiti wa takataka Ili kupunguza uharibifu wa mazingira imeelezwa kuwa Wimbi wa taka zinazotokana na matumizi ya Teknolojia...












