CHUO CHA MAJI CHATAKIWA KUWA MAABARA YA SEKTA YA MAJI
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amekitaka Chuo cha Maji kuwa maabara ya kutafiti na kutoa majibu kwa changamoto mbalimbali zinazotokea katika Sekta ya...
MAADHIMISHO YA WANAWAKE DUNIANI KAMPUNI YA PUMA YATOA MSAADA KWA WALEMAVU MAFUTA MITUNGI YA...
Na Magrethy Katengu
KAMPUNI ya Mafuta ya Puma (PUMA ENERGY) imeungana na Watanzania wote nchini katika kusheherekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayofanyika Machi...
CDE.MBETO-AKEMEA SIASA ZA UPOTOSHAJI
NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR.
CHAMA cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar, kimevitaka baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa nchini kuacha tabia ya kuwapotosha wananchi juu ya miradi ya...
MAADHIMISHO YA MWANAMKE DUNIANI ACB BENKI YAZINDUA WARIDI AKAUNTI
Na Magrethy Katengu
Benki ya Akiba Commercial ikiwa Leo ni siku ya Maadhimisho ya mwanamke Duniani waja kivingine kuwasaidia Wanawake Wajasriamali kwa kuzindua akaunti ya...
TIGO WAZINDUA MNARA LONGIDO – ARUSHA , WAZIRI NAPE AFUNGUKA HAYA
WAZIRI wa habari mawasiliano na teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye ameipongeza kampuni ya Tigo kwa kazi kubwa waliyoifanya kupunguza changamoto za mawasiliano vijijini...








