MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MAFUNZO KWA WAKUU WA WILAYA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa Wakuu wa Wilaya hapa nchini kuzingatia utawala bora,kanuni,...
TABORA YAPOKEA ZAIDI YA BILIONI 21 NDANI YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA
-Madaktari Bingwa wapiga kambi hospitali ya Rufaa-Kitete
Na. Catherine Sungura, WAF-Tabora
Zaidi ya Shilingi bilioni 21 zimetolewa ndani ya miaka miwili na Serikali ya Awamu ya...
Mwanza mwenyeji Maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama Kitaifa
Uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani Kitaifa kufanyika Machi 14 Mkoani Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mhe. Kassim...
SERIKALI YAWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA UKOMO WA BAJETI 2023/2024
Na. Farida Ramadhani na Peter Haule, WFM, Dodoma
Serikali imewasilisha kwa Wabunge Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/24, ambapo imepanga kukusanya na kutumia jumla...
Maelfu yakipokea Kwa Shangwe Kituo cha Kisasa cha Redio Rufiji
Na John Mapepele
Maelfu ya Wananchi wa Ikwiriri- Rufiji na vitongoji vyake usiku huu wamefurika katika Tamasha la uzinduzi waRufiji FM - Raha ya Pwani...








