TANZANIA NA MAREKANI ZAKUBALIANA UWEKEZAJI MKUBWA KWENYE UTALII NCHINI.
Na John Mapepele
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa leo Machi 23, 2023 amekutana na ujumbe wa Serikali ya Marekani ulioongozwa na...
MIKOA 26 KUSHIRIKI MASHINDANO YA KUHIFADHI NA KUSOMA QUR’AN
Na. Magrethy Katengu
Watanzania wote bila kuangalia itikadi zao za kidini nchini Wameshauriwa kushiriki kwa wingi katika mashindano ya kuhifadhi Qur-an yanayotarajiwa kufanyika Machi 26...
MEJA JENERALI MBUGE “MIKOA IANZISHE TIMU YA WATAALAM YA KUKABILIANA NA MAAFA”
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Meja Jenerali Charles Mbuge amewataka Wataalam kuanzisha Timu Mtambuka ya...
TAMASHA LA SIKUKUU YA PASAKA KUMSHUKURU MUNGU KWA UONGOZI WA RAIS DKT SAMIA HASSANI
Na Magrethy Katengu
MKURUGENZI wa Msama Promotion Alex Msama amesema maandalizi ya Tamasha la Pasaka litakalofanyika Aprili 9, 2023 viwanja vya Leaders Club jijini Dar...







