DKT. MPANGO AMEWAASA WATANZANIA KUTUMIA FURSA YA MIKUTANO YA KISIASA KUFANYA SIASA ZA KISTAARABU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewaasa watanzania kutumia fursa ya mikutano ya kisiasa kufanya siasa za...
Kampeni ya Kili Challenge 2023 kuchochea malengo ya kuzifikia SIFURI TATU-WAZIRI MHAGAMA
Na Mathias Canal, Moshi-Kilimanjaro
Serikali imeendelea kutenga fedha kwa ajili ya mapambano dhidi ya Virusi Vya UKIMWI ambapo mwaka huu mpya wa fedha wa 2023/2024...
N/WAZIRI NDERIANANGA AGAWA MITUNGI YA GESI ROMBO
Na Mathias Canal, Rombo-Kilimanjaro
Mbunge wa Viti maalumu Mhe Ummy Nderiananga ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) ameunga...
DAWA ASILIMIA 100 ZAPATIKANA ZAHANATI YA NYAKATO JIMBO LA MUSOMA MJINI
Na Shomari Binda-Musoma
UPATIKANAJI wa dawa na vifaa tiba kwa ngazi ya zahanati vimeelezwa kupatikana Kata ya Nyakato jimbo la Musoma mjini kwaajili ya huduma...
Watanzania watakiwa kujituma ili kuleta Maendeleo
WATANZANIA wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili waweze kupata mafanikio ya kiuchumi kutokana na shughuli wazifanya kwani serikali ya awamu sita imeboresha mazingira mazuri...
WAREMBO 20 MISS TANZANIA WAPAGAWA KISA MERCEDES BENZ
WAREMBO 20 wabaki vinywa wazi mara baada ya kutangazwa rasmi zawadi ya Miss Tanzania gari aina ya Mercedes benz yenye thamani ya Shilingi Milioni...
MATAPELI TUMA KWA NAMBA HII WADAKWA TANGA.
Na Boniface Gideon, TANGA
Matapeli 11 wanaojihusisha na kutuma ujumbe wa Simu maarufu ' PESA HIYO TUMA KWENYE NAMBA HII JINA ..' wamekamatwa na jeshi...
TANZANIA NA ZANZIBAR KUSHIRIKIANA KWENYE SEKTA YA MADINI
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano kati ya Wizara ya Madini ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano...
CHUO KIKUU SUZA CHAJA NA FUSRA MPYA YA KOZI IKIWEMO SHAHADA YA AWALI YA...
Na Magrethy Katengu
Chuo Kikuu Cha Taifa, Zanzibar (SUZA) kimekuja na fursa mpya programme {kozi} mbili ikiwemo ya shahada ya awali ya sayansi ya maabara...
SERIKALI YAJIDHATITI KUTATUA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAWEKEZAJI WA MADINI
Na Magrethy Katengu
Wizara ya Madini imesema itahakikisha inaweka mipango thabiti kutatua baadhi ya changamoto zilizopo kwenye Sekta ya Madini ikiwemo miundombinu zinatatuliwa kwa wakati...













