DKT. MPANGO AMETOA WITO KWA WATANZANIA KUJIEPUSHA NA KUTOA FIGO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa watanzania hususani vijana kujiepusha na kutoa figo zao...
TANZANIA NCHI MWENYEJI WA MKUTANO WA RASLIMALI WATU UTAKAOHUDHURIWA NA MARAIS WOTE BARA LA...
Na Magrethy Katengu
Tanzania ni mwenyeji wa Mkutano wa masuala ya raslimali watu wa Marais wa bara la Afrika na unaotarajiwa kuhudhuriwa na wageni wageni...
CCM MKOA WA MARA KUJENGA UKUMBI WA KISASA WA MIKUTANO KWA MILIONI 654
Na Shomari Binda-Musoma
CHAMA cha Maprnduzi ( CCM) mkoa wa Mara kimeanza ujenzi wa ukumbi wa mikutano na sherehe mbalimbali utakao ghalimu kiasi cha shilingi...
BOPOA wataka Elimu kutolewa ziwani kuepusha ajali
Na Neema Kandoro,Mwanza
WAMILIKI wa Boti na Yadi (BOPOA) Kanda ya Ziwa imeomba mamlaka zinazohusika kutoa elimu kwa watumiaji wa maji kuepuka kuingilia njia za...
WHO YATOA MILIONI 855 KWAAJILI YA UTAFITI WA KITAIFA WA VIASHIRIA VYA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA
Na. Catherine Sungura, Dodoma
Shirika la Afya Duniani (WHO) kuipatia Tanzania fedha Za kitanzania milioni 855 kwa ajili ya kuwezesha kufanya utafiti wa kitaifa wa...









