RAIS SAMIA: TANZANIA ITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA RAFIKI YA UWEKEZAJI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inaendelea kuweka mazingira rafiki kwa ajili ya uwekezaji na biashara na...
PUNGUZENI SEMINA, WANANCHI WAPATE HUDUMA VITUONI
Na. WAF - Bariadi, SimiyuWaziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu amewataka wataalamu wa afya nchini kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi wa kutoa...
MCHANGO WA MBUNGE MUHONGO WA SHUGHULI ZA MWENGE WAPOKELEWA
Na Shomari Binda-Musoma
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Musoma vijijini Denis Ekwabi amepokea na kuwasilisha mchango wa mbunge Prof.Sospeter Muhongo kufanikisha shughuli...
T-PESA APP YAZINDULIWA
Na Magrethy Katengu
KAMPUNI ya Simu ya TTCL imezindua huduma ya T-PESA APP ambayo itawarahisishia wateja wa mtandao huo kupata huduma mbalimbali za malipo kwa...







