USIKIVU WA RAIS DK. SAMIA UNALETA MAFANIKIO MAKUBWA NCHINI – KINANA
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana, amesema mafanikio makubwa yaliyofikiwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka...
MAJALIWA: UTULIVU, AMANI NDIYO NGUZO MUHIMU YA USTAWI WA NCHI YETU
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaasa Watanzania watambue kuwa utulivu, amani, umoja na mshikamano ndiyo nguzo muhimu katika ustawi wa Taifa kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Ametoa...
MBUNGE MATHAYO APIGIA CHAPUO BANDARI YA MUSOMA KUFUFULIWA
Na Shomari Binda-Musoma
MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Mathayo amesema bandari ya Musoma ikifufuliwa itainua uchumi wa vijana wa Kata ya Iringo na...
Mhe. Mchengerwa aipongeza Yanga kwa kutangaza Tanzania kimataifa
Na John Mapepele
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa amepongeza Timu ya Yanga kwa kuichakaza Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwa bao moja...
SERIKALI KUPUNGUZA UAGIZAJI WA BIDHAA ZA AFYA KUTOKA 80% HADI 50% IFIKAPO 2030.
Na. WAF - Dar es Salaam
Serikali kupitia Wizara ya Afya imedhamiria kupunguza uagizaji wa bidhaa za Afya ikiwemo dawa kutoka zaidi ya asilimia 80...








