SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WADAU KUTOKOMEZA ULEMAVU WA KUTOKUONA
Na. Shaban Juma, Dodoma
Serikali imetoa wito kwa wadau wa maendeleo nchini kushirikiana kwa karibu katika kuboresha huduma za afya ya macho ili kuzuia ulemavu...
KINANA: WAPINZANI JENGENI HOJA, ACHENI KEJELI KWA RAIS’.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinanaa amewashauri na kuwakumbusha wanasiasa wa upinzani kuheshimu fursa ya maridhiano ya kisiasa iliyotolewa na Rais...
DIASPORA TUNZENI HESHIMA YA TANZANIA – MAJALIWA
*Awataka walitetee Taifa lao, watangaze fursa zilizopo nyumbani
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wanadiaspora wa Tanzania wazingatie sheria za nchi wanazoishi ili waendelee kutunza heshima...
UTT AMIS yaita wananchi kuwekeza kisasa zaidi
*Yageuka kimbilio kwa wenye vipato tofauti, faida sasa Trilioni 1.5/-
Na Beatrice Sanga-MAELEZO
KAMPUNI ya Uwekezaji wa Mitaji ya Pamoja (UTT AMIS) imetoa rai kwa wananchi...







