SERIKALI IPO KATIKA HATUA ZA MWISHO ZA KUKAMILISHA SERA YA TEHAMA
Naibu katibu mkuu wa wizara ya habari mawasiliano na tekmolojia ya Habari selestine Kakele amesema serikali ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha mapitio...
KADA CCM ATOA USHAURi KWA WENYEVITI WA MITAA NCHINI
Na Shomari Binda-Musoma
WENYEVITI wa mitaa nchini wameshauriwa kutumia mikutano yao kutoa elimu ya ufahamu juu ya Katiba ya nchi.
Ushauri huo umetolewa na kada wa...
CCM MWANZA yataka viongozi wasimamie Miradi kwa ukaribu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mwanza kimewataka viongozi wake kuweka juhudi katika kutatua matatizo ya wananchi katika maeneo yao kama inavyosisitizwa na Ilani yake...
WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA MJI WA SERIKALI
*Aagiza ifikapo Oktoba mwaka huu uwe umekamilika
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza kuwa ifikapo Oktoba mwaka huu, mradi wa majengo ya wizara mbalimbali unaoendelea katika...
KATIBU MKUU NISHATI ASISITIZA GST KUFANYA UTAFITI ZAIDI
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba amesisitiza Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuendelea kufanya tafiti zaidi ikiwemo kuongeza...
MABASI YATOAYO HUDUMA YA USAFIRISHAJI ABIRIA MIKOANI YARUHUSIWA KUSAFIRI MASAA 24
Na Magrethy Katengu
Mabasi yanayotoa huduma ya usafirishaji abiria kwenda Mikoani yameruhusiwa kusafiri masaa 24 kutokana na hali ya Ulinzi na usalama kuboreshwa barabarani kote...









