WAZIRI UMMY: SIMAMIENI SHERIA NA TARATIBU ZA BODI KATIKA UTENDAJI
Na WAF - DSM
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameitaka bodi ya wadhamini ya Bohari ya Dawa (MSD) kusimamia Sheri na utaratibu wa bodi...
BASHUNGWA: WABADHILIFU NA WAZEMBE KWENYE HALMASHAURI ZOTE KUCHUKULIWA HATUA
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Martin...
RASIMU YA MITAALA MIPYA NA RASIMU YA MAPITIO YA SERA KUKAMILIKA DISEMBA 2022-WAZIRI MKENDA
Na Mathias Canal
Serikali imesema kuwa imeamua kufanya mageuzi ya elimu ambapo kufikia mwezi Disemba 2022 rasimu ya Mitaala mipya pamoja na rasimu ya mapitio...
WAZIRI NDALICHAKO AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA USWISI NCHINI TANZANIA.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako leo tarehe 25 Jula, 2022, amekutana...
KUSUASUA KWA MRADI WA AFYA DKT MAGEMBE ASHUSHA NONDO KWA WASIMAMIZI
OR-TAMISEMI
Naibu Katibu Mkuu (Afya) Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Dkt. Grace Magembe ameagiza kufanyika Uchunguzi wa kina katika...
KINANA AWASILI KATAVI KWA ZIARA YA KIKAZI, KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO
Na Mwandishi Wetu Katavi
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amewasili mkoani Katavi kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi...
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU TISHIO LA MGOMO WA WAFANYAKAZI MADEREVA
Serikali imetoa tamko kuhusu tishio la mgomo wa wafanyakazi madereva, taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira...











