SERIKALI YATENGA BILIONI 8 KUSOMESHA WATAALAMU WA AFYA NGAZI YA UBINGWA NA UBINGWA BOBEZI
Na. Catherine Sungura, WAF-Dar es Salaama
Serikali kupitia Wizara ya afya imetenga billion 8 kusomesha watalaamu wa afya, ndani na nje ya nchi, katika fani...
SHAKA HAMDU SHAKA ATEMBELEA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE, MUHIMBILI
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na...





