Saturday, June 27, 2026
Home 2022 July 16

Daily Archives: July 16, 2022

SERIKALI YA ZANZIBAR KUAJIRI WALIMU 4,000

0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema mara baaada ya ujenzi wa Shule na Madarasa katika...

SERIKALI YAMALIZA MGOGORO WA KANISA LA EAGT

0
Na. Mwandishi Wetu Askofu Mkuu wa Kanisa la Evangelistic Assemblies Of God Tanzania (EAGT) Dkt. Abel Mwakipesile amesema mgogoro uliodumu kwa takribani miaka sita umekwisha...

ERB YAVITAKA VYUO KUTUMIA MIRADI YA KIMKAKATI KIMAFUNZO

0
Bodi ya Usajili wa Wahandisi nchini (ERB) imevitaka vyuo vyote vinavyotoa taaaluma ya uhandisi nchini kuhakikisha inaitumia kimafunzo miradi ya kimkakati inayoendelea kujengwa kwa...

WIZARA YA MAJI YAJA NA MATANKI YA MAJI YA PLASTIKI

0
Chamwino, Dodoma Waziri wa Maji Mhe.Jumaa Aweso ameweka jiwe la msingi katika mradi wa maji kwenye kata ya Dabalo Wilaya ya Chamwino Mkoa wa Dodoma,...

TARURA YALETA FARAJA KWA WANANCHI MOMBA MKOANI SONGWE

0
Wananchi Wilayani Momba, Songwe wanefarijika baada ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kukamilisha maandalizi ya ujenzi wa daraja la muda katika...

TANZANIA NI MAHALI SALAMA KWA BIASHARA NA UWEKEZAJI

0
Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bi. Pendo Godwe amesisitza kuwa tanzania ni sehemu sahihi ya kuwekeza kwa wawekezaji wa...

WATOTO WADOGO MARUFUKU KUFANYA BIASHARA BIHARAMULO

0
MKUU wa Wilaya Biharamulo Kemilembe Lwota ameziagiza Mamlaka za serikali za kata na vijiji wilayani humo kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kwenda shule...