PROF. SHEMDOE AWAFUNDA MAKATIBU TAWALA NA WAKURUGENZI
Asila Twaha- TAMISEMI
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Prof. Riziki Shemdoe ametoa wito kwa Makatibu Tawala wa Mikoa...
ZIARA YA MAKAMBA CHUNYA, YALETA FURAHA
Waziri wa Nishati mhe JANUARI Y.MAKAMBA Leo tarehe 27-07-2022 amefanya ziara wilayani CHUNYA….
Akiwa wilayani CHUNYA, mhe MAKAMBA ambaye aliongozana na mwenyeji wake, mkuu wa...
MSAKO KWA WAGANGA WA TIBA ASILI WANAOFANYA KAZI BILA KUSAJILIWA KUANZA – PROF. MALEBO.
Na Rayson Mwaisemba WAF - MOROGORO.
Wizara ya Afya kupitia Baraza la Tiba asili na Tiba mbadala kuanza kuwasaka na kuwachukulia hatua za Kisheria Waganga...
UTATUZI WA MIGOGORO IKUNGI WAZIDI KUSHIKA KASI, SASA NI KATA YA UNYAHAATI
Mkuu wa wilaya ya Ikungi Mhe. Jerry Muro akiwa pamoja na wataalamu wa ardhi kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri Ikungi leo tarehe 27/07/2022...
KINANA ATAJA SIRI YA UONGOZI WENYE KULETA MAFANIKIO KWA WANANCHI
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amewapongeza na kuwataka viongozi wote wanaochapa kazi na kuwataka waendelee kushirikiana...
HAJI MANARA AZIDI KUWAKA NJE YA MPIRA APATA DILI NENE BAYPORT
Na Magreth Mbinga
Aliyekuwa Msemaji wa Young Africans Haji Manara amesema amewataka wachezaji wenye majina makubwa kitumia majina yao na mitandao ya kijamii kijiongezea kipato...
WATALII 35 KUTOKA ISRAEL WATUA ROMBO//WAUNGA MKONO JUHUDI ZA MBUNGE MKENDA UKARABATI WA SHULE...
Na Mathias Canal, Rombo
Kikundi cha Upendo Group kutokea nchini Israel kimewasili katika Wilaya ya Rombo kwa wiki mbili kuanzia tarehe 26 Julai 2022 mpaka...
MMUYA ARIDHISHWA UJENZI WA KITUO CHA URATIBU NA UDHIBITI WA MAAFA.
Na Mwandishi wetu - Dodoma
Naibu katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Bw. Kaspar Mmuya ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi...











