Saturday, June 27, 2026
Home 2022 July 14

Daily Archives: July 14, 2022

TAASISI YA MAZINGIRA NCHINI INDIA KUJIFUNZA MFUMO WA TAKA SIFURI MTAA WA BONYOKWA

0
Na Magreth Mbinga Taasisi ya mazingira kutoka Nchini India leo Julai 14 wametembelea kituo cha mfumo wa taka sifuri kilichopo Mtaa wa Bonyokwa Wilaya ya...

BILIONI 18 ZA TARURA KULETA SHANGWE KWA WANANCHI MBEYA

0
Na Raphael Kilapilo Wananchi Mkoani Mbeya wanatarajia kunufaika na kiasi cha shilingi bilioni 18.2, pesa zilizotengwa kutekeleza miradi mbalimbali ya barabara na madaraja. Mhandisi Florian Kabaka,...

AWESO AWAPA KONGOLE WABUNIFU WA MAJI APP

0
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amefanya mazungumzo na wataalamu wanaojenga mifumo ya kieletroniki ya Wizara ya Maji, ukiwemo mfumo wa Maji App...

WAZIRI NDUMBARO MGENI RASMI MKUTANO WA WADAU – RITA

0
Na Magreth Mbinga Wakala wa Usajili , ufilisi na Udhamini (RITA) wanatarajia kufanya mkutano ambao utakaowashirikisha wadau mbalimbali utakayofanyika Julai 18, mwaka huu jijini Dar...

MAKAMU RAIS DKT. PHILIP MPANGO ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA 19

0
Makamu wa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ameshuhudia utiaji saini wa mikataba mbalimbali wakati akifunga Maonesho ya 46 ya...

DKT. MPANGO AITAKA WIZARA YA UWEKEZAJI KUONDOA VIKWAZO VYA KIBIASHARA

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameielekeza Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kusimamia uondoaji wa vikwazo vinavyokwamisha...

NAIBU SPIKA ZUNGU ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI YA MAENDELEO ENDELEVU

0
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu ameshiriki Kikao cha Kamati ya Maendeleo Endelevu ambayo ni moja...

SIMBACHAWENE ATAKA BARABARA YA KIKUYU MANGAZILA-KILAMBO KUSAJILIWA TARURA

0
Na Mwandishi wetu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene ameagiza Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa kuisajili kwa...

TIGO WATOA MILIONI 140 KWA MAWAKALA WAO NCHI NZIMA.

0
Na Mwandishi Wetu.  Kampuni ya Tigo Tanzania kupitia kampeni yake ya 'Wakala Push Promotion'  imetoa zawadi kwa mawakala zaidi ya elf moja waliopo nchi nzima...