Home Kitaifa SIMBACHAWENE ATAKA BARABARA YA KIKUYU MANGAZILA-KILAMBO KUSAJILIWA TARURA

SIMBACHAWENE ATAKA BARABARA YA KIKUYU MANGAZILA-KILAMBO KUSAJILIWA TARURA

Na Mwandishi wetu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene ameagiza Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa kuisajili kwa wakala wa barabara vijijini TARURA barabara ya Kikuyu Mangaliza kuelekea Kijiji cha Kilambo.

Tujenge misingi imara katika kutekeleza miradi ya maendeleo ili tuimarishe ujenzi wa miundo mbinu ya barabara, miundo mbinu ya afya na miundo mbinu ya elimu”

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu (Mb) Mhe. George Simbachawene alipokuwa anazungumza na wananchi wa kata ya Mangaliza katika ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo jimbo la Kibakwe Halmashauri ya Mpwapwa.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!