PBPA YATOA ELIMU KUHUSU MFUMO WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) unasimamia Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, ambao umeisaidia Serikali kuhakikisha bidhaa za mafuta...
MAKAMU WA RAIS DKT. NCHIMBI ASISITIZA UWEKEZAJI KATIKA MNYORORO WA THAMANI WA KILIMO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ametembelea Banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB)...
WAZIRI SANGU: BANDARI YA UVUVI KILWA MASOKO KUFUNGUA FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Clement Sangu akikagua maeneo mbalimbali katika Bandari ya Uvuvi...
INCLUSIVE MWALIMU GALA 2026 YAIBUA MIKAKATI YA KUFIKIA DIRA 2050
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafadh Ameir, amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake wanataaluma katika kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo...







