Home 2026
Yearly Archives: 2026
MABADILIKO YA SERA YASABABISHA MAREKANI NA UINGEREZA KUFUNGA OFISI NDOGO ZA UBALOZI ZANZIBAR
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amelieleza Bunge kuwa Marekani na Uingereza zilifunga Ofisi Ndogo...
NAIBU WAZIRI KWAGILWA AHIMIZA USHIRIKIANO USAFI WA MAZINGIRA
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa leo Mei 25, 2026 akiongoza zoezi la usafi wa mazingira lililohusisha...
RUVUMA YAPOKEA MAJIKO BANIFU 7,648 KWA BEI YA RUZUKU
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mheshimiwa Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, leo Mei 25, 2026 amepokea rasmi mradi wa uuzaji na usambazaji wa majiko...
WAHITIMU UDSM WAASWA KUTUMIA MAARIFA, UBUNIFU NA TEKNOLOJIA KULETA MABADILIKO YA JAMII
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
WAHITIMU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wametakiwa kutumia maarifa, ubunifu na teknolojia kuleta mabadiliko chanya katika jamii,...
TBS WATOA ELIMU YA USALAMA WA CHAKULA KWA WAFANYA BIASHARA WA CHIPS DAR ES...
Na Adery Masta.
Katika hatua muhimu ya kuendelea kulinda afya za wananchi pamoja na kuimarisha ubora wa huduma za chakula mitaani, Shirika la Viwango Tanzania...
SABASABA YAJA NA “USIKU WA DHAHABU” KUIBUA HISTORIA YA MIAKA 50 YA MAGEUZI YA...
Dar es Salaam
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Jubilei ya Dhahabu ya miaka 50 ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam...
UPANUZI WA KIWANDA CHA MAGARI CHA SATURN, MAELFU WANUFAIKA NA AJIRA
Serikali imesema mafanikio yaliyofikiwa na kiwanda cha kuunganisha magari aina ya Howo kinachomilikiwa na Saturn Corporation Limited ndani ya kipindi cha miaka miwili ni...
BONDIA MMAREKANI AFURAHIA MAPOKEZI TANZANIA, AJIANDAA KUONA MAAJABU YA SERENGETI
Bondia wa kimataifa wa Marekani Terence “Bud” Crawford amesifu ukarimu wa Watanzania tangu alipowasili nchini Mei 24, 2026, kwa ziara ya kitalii.
Bondia huyo ameyasema...
BONDIA MASHUHURI KUTOKA MAREKANI ATUA KUFANYA “ROYAL TOUR” TANZANIA
Bondia mashuhuri kutoka Marekani mwenye rekodi ya kushika mikanda yote minne ya dunia katika uzito wake ukiwemo wa welterweight, Terence “Bud” Crawford, ametua nchini...
TADB YATUMIA REDIO ZA KIJAMII KUFIKIA WAKULIMA NCHINI
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) inaendesha semina kwa wamiliki na wahariri wa redio za kijamii zipatazo 50 toka Tanzania Bara na Zanzibar...













