Thursday, July 9, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

TBS WATOA ELIMU YA VIWANGO KWA WAJASIRIAMALI MAONESHO YA SABASABA 2026 , WAPATA MUITIKIO...

0
  Na Mwandishi Wetu. Dar es Salaam. Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuonyesha dhamira yake ya kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kutumia Maonesho ya...

SERIKALI KUENDELEA KUWAUNGA MKONO WAZALISHAJI WA NDANI

0
Serikali imeahidi kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani ili kuongeza uwezo wa uzalishaji na kukuza mauzo ya bidhaa nje ya nchi hatua inayolenga kuimarisha...

UTAFITI WA KIMATAIFA WAITAMBUA WRRB KWA KUIMARISHA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA

0
Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kufanikisha utafiti kuhusu maboresho ya kisasa ya mnyororo wa...

WAZIRI SANGU AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WAMOWASALAT QATAR

0
✅ Wajadili Fursa za Ajira kwa Madereva wa Kitanzania Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu amekutana...

WAZIRI SANGU AHIMIZA NIDHAMU NA UWAJIBIKAJI KWA WAFANYAKAZI WA KITANZANIA NCHINI QATAR

0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akizungumza na Wafanyakazi Madereva wa Kitanzania wanaofanya kazi katika...

COASCO: UKAGUZI WA VYAMA VYA USHIRIKA NI NGUZO YA KUIMARISHA KILIMO NA UCHUMI WA...

0
Magrethy Katengu--Dar es Salaam: Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO), Jeremiah Mugeta, amesema sekta ya kilimo na...

TEA YAIMARISHA ELIMU YA AMALI KWA VIFAA VYA KISASA VYA USHONAJI

0
Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI wanaosoma mkondo wa elimu ya amali katika Shule ya Sekondari Dar es Salaam wameeleza kuwa ufadhili wa vifaa vya ushonaji uliotolewa...

KAPINGA: WATANZANIA WAJITOKEZE SABASABA, BIDHAA ZA NDANI ZAZIDI KUBOREKA.

0
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam...

TFS YAPOKEA WAGENI WA OFA YA SABASABA

0
Na Mwandishi wetu Bagamoyo Wakala wa Misitu nchini (TFS) wamepokea wameanza kupokea wageni kutokana na Punguzo la Msimu huu wa sabasaba katika kutembelea vituo vyao...

WAZIRI SANGU AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI WA KAZI QATAR

0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Kazi wa Qatar,...