Home 2026
Yearly Archives: 2026
NM-AIST YAWASILISHA ZAIDI YA BUNIFU 20 WIKI YA ELIMU, UJUZI NA UBUNIFU.
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi na washiriki wa Wiki ya Kitaifa ya Elimu,...
NM-AIST KUTEKELEZA DIRA 2050 KUPITIA UTAFITI, UBUNIFU NA UJASIRIAMALI
Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Mhe. Omari Issa atunuku shahada za umahiri na uzamivu kwa wahitimi 138...
TFS YATUMIA JOGGING KAMA SEHEMU YA KUJIIMARISHA KIAFYA
WAFANYAKAZI wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Mashariki wamefanya mazoezi ya kukimbia umbali wa takribani kilomita saba katika eneo la...
KAMATI YA BUNGE YAISHAURI SERIKALI KUONGEZA RUZUKU KWA TBA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiomba Serikali kuongeza ruzuku kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), ili kuwezesha kuongeza kasi ya ujenzi wa...
WAZIRI KAIRUKI AITAKA TTCL KUBADILI HOME PASS KUWA WATEJA HAI
Na Mwandishi Wetu - DAR ES SALAAMWaziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki, ameitaka TTCL kubadilisha mtazamo wa kupima...
BALOZI SALUM AZITAKA FCC, TBS NA WMA KUPAMBANA NA BIDHAA BANDIA NA DUNI.
Mameneja wa Kanda na Mikoa wa Taasisi za Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Tume ya Ushindani (FCC) pamoja na Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA)...
TRA KARIAKOO NA MABALOZI JENGO WAIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA KUTOA ELIMU YA KODI KWA WALIPAKODI
Kariakoo, 20 Agosti, 2026
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Kariakoo imeimarisha ushirikiano na uongozi wa Mabalozi Jengo kwa lengo la kuwafikia...
AIRTEL AFRICA YAANDIKA HISTORIA KWA KUZINDUA INTANETI YA SATELAITI KWA SIMU DRC
Kinshasa, 17 Agosti 2026: Airtel Africa imeandika historia baada ya kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika kuzindua kibiashara intaneti ya satelaiti kwa...
KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA WRRB, YATAKA WRS KUTUMIKA KWENYE PARACHICHI
Na.Mwandishi Wetu- Dodoma
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa utekelezaji...
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UTENDAJI WA TBS
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo imeipongeza TBS kwa kutekeleza majukumu yake ya udhibiti ubora kwa ufanisi.
Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti...













