KAPINGA: WATANZANIA WAJITOKEZE SABASABA, BIDHAA ZA NDANI ZAZIDI KUBOREKA.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam...
TFS YAPOKEA WAGENI WA OFA YA SABASABA
Na Mwandishi wetu Bagamoyo
Wakala wa Misitu nchini (TFS) wamepokea wameanza kupokea wageni kutokana na Punguzo la Msimu huu wa sabasaba katika kutembelea vituo vyao...
WAZIRI SANGU AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI WA KAZI QATAR
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Kazi wa Qatar,...
MHE. KIKWETE AWASILI MKOANI TABORA KWENYE ZIARA YAKE YA KIKAZI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akisaini kitabu cha wageni mara baada ya...
TANZANIA NA QATAR KUENDELEA KUSHIRIKIANA KUFUNGUA FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA
Na: OWM (KAM) – Doha, Qatar
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amesema Tanzania na Qatar...








