Home 2026
Yearly Archives: 2026
WAZIRI SANGU AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI WA KAZI QATAR
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Kazi wa Qatar,...
MHE. KIKWETE AWASILI MKOANI TABORA KWENYE ZIARA YAKE YA KIKAZI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akisaini kitabu cha wageni mara baada ya...
TANZANIA NA QATAR KUENDELEA KUSHIRIKIANA KUFUNGUA FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA
Na: OWM (KAM) – Doha, Qatar
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amesema Tanzania na Qatar...
WASHIRIKI 103 WANUFAIKA NA MAFUNZO YA UENDESHAJI WA GHALA NCHINI
Afisa Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Bi. Janeth Chatta,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya wasimamizi wa shughuli za ghala kwa msimu wa biashara wa mbaazi...
WRRB YATANGAZA FURSA MPYA KWA WAFUGAJI
Wafugaji nchini wanatarajiwa kunufaika na biashara ya kisasa ya mifugo baada ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kuanza kuingiza mifugo katika...
WAZALISHAJI KUTUMIA ALAMA YA ‘MADE IN TANZANIA’ KUONGEZA USHINDANI KIMATAIFA
Na.Mwandishi Wetu-DAR ES SALAAM:
Serikali imewaagiza wazalishaji wote nchini kutumia alama ya 'Made in Tanzania' ili kuongeza imani kwa bidhaa zinazozalishwa nchini na kuimarisha ushindani...
MMS ATEMBELEA WADAU MAONESHO YA SABASABA 2026
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko, akisaini kitabu cha wageni alipowasilikwemye viwanja vya maonyesho vya Mwalimu Nyerere vilivyopo Barabara ya Kilwa Dar es...
TIRDO YAIBUKA NA SULUHISHO RAFIKI KWA MAZINGIRA KATIKA UCHAKATAJI NGOZI
Matumizi ya kemikali katika uchakataji wa ngozi yanatarajiwa kupungua kufuatia ubunifu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) wa kubuni dawa...
TANZANIA YATOA WITO WA KUIMARISHWA KWA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KATIKA UTAWALA WA AKILI UNDE
Na.Mwandishi Wetu-Geneva
Tanzania imetoa wito wa kuimarishwa kwa ushirikiano wa kimataifa ili kuhakikisha maendeleo ya kasi ya Akili Unde (AI) yanasimamiwa kupitia mifumo ya kimataifa...
BOT ACADEMY YAWAKARIBISHA WATANZANIA KUJIUNGA NA PROGRAMU ZA MAFUNZO YA KIBENKI
Na Mwandishi Wetu
CHUO cha Benki Kuu ya Tanzania (BOT Academy) kimewahimiza Watanzania, hususani wahitimu wa elimu mbalimbali na watumishi wa sekta ya fedha, kujiunga...













