Home 2026
Yearly Archives: 2026
WAZIRI KIKWETE AMJULIA HALI MAMA KARUME, APELEKA SALAMU ZA RAIS SAMIA
WaziriΒ wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. RidhiwaniΒ Kikwete, akizungumzaΒ na Mama Fatuma Karume mara baada...
πππ£ππ‘ππ ππππ£π¨ππππͺπ ππ¨πͺππ¦ππππ¦ππ π ππ¦πͺπππ π¬π π§π¨ππ’ π¬π π§ππππ π¬π π πͺππππ π¨ π‘π¬ππ₯ππ₯π π¬π π¨ππ‘πππ¦ππ ππ¨π‘πππ¨
Na.Mwandishi Wetu
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu imeendelea kuonyesha mafanikio makubwa,...
FCC YAWAJENGEA UWEZO MAAFISA BIASHARA NCHINI KULINDA WALAJI
Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti wa Bidhaa Bandia wa Tume ya Ushindani (FCC), Bw.Salvatory Chuwa, akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa Maafisa Biashara katika Kikao...
MAAFISA BIASHARA WASISITIZWA KUWA WAWEZESHAJI BIASHARA KUELEKEA DIRA 2050.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa BRELA, Prof. Neema Mori amewasisitiza Maafisa Biashara Nchini kuwa wawezeshaji wa wafanyabiashara badala ya kuwa wadhibiti...
TBS YABANA MATUMIZI YA UMEME KWA KUPITIA VIWANGO VIPYA VYA UFANISI
Na Mwandishi Wetu.
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeweka Viwango vya Chini vya Ufanisi wa Nishati (MEPS) kwa vifaa vinavyotumia umeme, hatua inayolenga kupunguza matumizi...
MKINGA YANUFAIKA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
πMitungi ya gesi ya kilo sita 3,255 kuuzwa kwa bei ya ruzuku ya Shilingi 17,500
πMkinga, Tanga
Serikali imeendelea kutekeleza kwa vitendo Mkakati wa Taifa wa...
WRRB, MIKOA NA HALMASHAURI KUIMARISHA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA
Na.Mwandishi Wetu-DODOMA
BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema itaendelea kushirikiana kwa karibu na Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri nchini ili kuimarisha utekelezaji...
TBA YASAIN MKATABA NA GALCO LTD KUJENGA MODERN LOGISTIC HUB TEMEKE
Na Magrethy Katengu βDar es Salaam
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umesaini Mkataba wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP) na Kampuni ya...
WAZALISHANI MKAA MBADALA WATAKIWA KUZINGATIA UBORA,VIWANGO NA AFYA YA WATUMIAJI
Na Magrethy Katenguaβ Dar es Salaam
Wazalishaji wa nishati mbadala ya kupikia, hususan mkaa unaotokana na taka ngumu, wametakiwa kuendelea kutumia teknolojia na mbinu za...
TBS KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM WATEKETEZA TANI 39 ZA BIDHAA ZA CHAKULA...
Na Mwandishi Wetu.
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeendelea kuonesha dhamira yake ya kulinda afya za wananchi baada ya...













