Friday, May 1, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

REA Yatoa Elimu ya Nishati Safi kwa Wananchi Tamasha la Kilimo Iwambi Mbeya.

0
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea kutoa elimu ya matumizi ya nishati safi kwa wananchi katika Tamasha la Kilimo linalofanyika katika viwanja vya Iwambi,...

TCDC YASHIRIKI ZOEZI LA UPANDAJI MITI MKOANI NJOMBE

0
Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Njombe,Kamati ya Michezo ya Meimosi, Wakala wa Huduma...

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YATUMIA TEHAMA KUSOGEZA HUDUMA ZA KISHERIA KARIBU NA WANANCHI

0
Mkurugenzi wa Huduma za Msaada wa Sheria, Esther Msambazi,akizungumza wakati wa mdahalo na wanachuo wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) uliofanyika jijini Dodoma  katika...

TAMASHA LA UWEKEZAJI ZANZIBAR KUCHOCHEA FURSA NA UKUAJI WA UCHUMI

0
WAZIRI wa Kazi na Uwekezaji Zanzibar, Shariff Ali Shariff, amewataka Watanzania, wafanyabiashara na wadau wa maendeleo kushiriki kikamilifu katika Tamasha la pili la Uwekezaji...

WAFUGAJI RUFIJI WAPATIWA HATI MILIKI, WAPONGEZA SERIKALI

0
Na Julieth Mkireri, Rufiji Wafugaji wilayani Rufiji wameishukuru Serikali ya Wilaya kwa kushirikiana na Chama cha Wafugaji kwa kujenga maeneo kwa ajili ya wafugaji kupitia...

REA WAHAMASISHA NISHATI SAFI MBEYA

0
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unashiriki katika tamasha la kilimo linalofanyika katika viwanja vya Iwambi jijini Mbeya kuanzia tarehe 25 hadi 29 Aprili 2026,...

TBS WAKABIDHI VYETI NA TUZO ZA UBORA ZA EAC NA SADC KWA MAKAMPUNI YA...

0
Na Mwandishi Wetu. Sekta ya uzalishaji nchini Tanzania imeendelea kuonesha kasi ya ukuaji na ushindani wa kimataifa, baada ya makampuni ya ndani kufanikiwa kutwaa vyeti...

TCDC SPORTS CLUB YASHIRIKI MASHINDANO YA KARATA

0
Timu ya Wachezaji wa Karat a upande wa Kike na kiume zimeshiriki Mashindano ya mchezo wa Karata leo Aprili 25, 2026 katika viwanja vya...

THTU YATAKA UTAFITI UBADILISHWE KUWA MAPATO NA AJIRA

0
Na Mwandishi Wetu, DODOMA Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU) kimeitaka Serikali kuweka mfumo madhubuti wa kubadilisha tafiti na ubunifu...

WATAALAMU WA AFYA HANDENI MJI WAPIGA KAMBI MITAANI KUELIMISHA JAMII

0
Na Augusta Njoji Timu ya wataalamu wa afya kutoka Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni imeanza rasmi mpango wa utoaji elimu kwa jamii ili kuimarisha...