Monday, August 24, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

WAZIRI KIKWETE AMJULIA HALI MAMA KARUME, APELEKA SALAMU ZA RAIS SAMIA

0
WaziriΒ  wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. RidhiwaniΒ  Kikwete, akizungumzaΒ  na Mama Fatuma Karume mara baada...

FCC YAWAJENGEA UWEZO MAAFISA BIASHARA NCHINI KULINDA WALAJI

0
Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti wa Bidhaa Bandia wa Tume ya Ushindani (FCC), Bw.Salvatory Chuwa, akiwasilisha mada  wakati wa Mkutano wa   Maafisa Biashara katika Kikao...

MAAFISA BIASHARA WASISITIZWA KUWA WAWEZESHAJI BIASHARA KUELEKEA DIRA 2050.

0
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa BRELA, Prof. Neema Mori amewasisitiza Maafisa Biashara Nchini kuwa wawezeshaji wa wafanyabiashara badala ya kuwa wadhibiti...

TBS YABANA MATUMIZI YA UMEME KWA KUPITIA VIWANGO VIPYA VYA UFANISI

0
  Na Mwandishi Wetu. SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeweka Viwango vya Chini vya Ufanisi wa Nishati (MEPS) kwa vifaa vinavyotumia umeme, hatua inayolenga kupunguza matumizi...

MKINGA YANUFAIKA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

0
πŸ“ŒMitungi ya gesi ya kilo sita 3,255 kuuzwa kwa bei ya ruzuku ya Shilingi 17,500 πŸ“Mkinga, Tanga Serikali imeendelea kutekeleza kwa vitendo Mkakati wa Taifa wa...

WRRB, MIKOA NA HALMASHAURI KUIMARISHA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA

0
Na.Mwandishi Wetu-DODOMA BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema itaendelea kushirikiana kwa karibu na Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri nchini ili kuimarisha utekelezaji...

TBA YASAIN MKATABA NA GALCO LTD KUJENGA MODERN LOGISTIC HUB TEMEKE

0
Na Magrethy Katengu β€”Dar es Salaam Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umesaini Mkataba wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP) na Kampuni ya...

WAZALISHANI MKAA MBADALA WATAKIWA KUZINGATIA UBORA,VIWANGO NA AFYA YA WATUMIAJI

0
Na Magrethy Katenguaβ€” Dar es Salaam Wazalishaji wa nishati mbadala ya kupikia, hususan mkaa unaotokana na taka ngumu, wametakiwa kuendelea kutumia teknolojia na mbinu za...

TBS KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM WATEKETEZA TANI 39 ZA BIDHAA ZA CHAKULA...

0
Na Mwandishi Wetu. SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeendelea kuonesha dhamira yake ya kulinda afya za wananchi baada ya...