Friday, May 1, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

TCDC, BOT WAKINGIANA VIFUA

0
Timu ya Mpira wa miguu TCDC Sports Club imeonyeshana ubabe na Timu ya Mpira wa miguu ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) baada ya...

TCDC SPORTS CLUB YASHIRIKI MASHINDANO YA POOLTABLE

0
Katika kuelekea Kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani ( Meimosi) ambayo kitaifa inafanyika mkoani Njombe, Timu ya Pooltable ya TCDC Sports Club imeshiriki mashindando...

TCDC YASHIRIKI MASHINDANO YA RIADHA

0
Wanamichezo wa TCDC Sports Club wameshiriki mashindano ya riadha (mbio) katika Michezo ya kitaifa Meimosi inayoendelea mkoani Njombe. Wachezaji walioshiririki mbio hizo ni Mbaso John...

WANAWAKE WAONGOZA MABADILIKO YA TAIFA

0
Jukwaa la wanawake viongozi nchini, Women in Leadership Forum (WLF), limejitambulisha rasmi kwa umma likieleza dhamira yake ya kuunganisha wanawake walio katika nafasi za...

POMBE FEKI TISHIO KWA KIZAZI CHA SASA NA KIJACHO: LOMATAN YAJA NA SULUHU

0
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Lomatan, Loveness Edwin Mamuya amewaongoza Watanzania katika kampeni ya kupiga vita pombe feki na haramu, akisisitiza kuwa unywaji wa...

WAZIRI KAPINGA AWASIHI WAWEKEZAJI WAZAWA KUCHANGAMKIA FURSA SEKTA YA VIWANDA

0
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amewataka wawekezaji wazawa nchini kuchangamkia fursa katika sekta ya viwanda, akisisitiza kuwa serikali ya Awamu ya Sita...

WANANCHI CHUNYA KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJIKO BANIFU KWA BEI YA RUZUKU.

0
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa halmashauri hiyo, Wakili Athumani Bamba leo Aprili 24, 2026 amezindua...

RATIBA BORA ZA MASOMO ZATAJWA MSINGI WA WATAALAMU WENYE UJUZI

0
 Mwenyekiti Mtendaji wa Jukwaa la Waratibu wa Ratiba za Elimu na Mafunzo Tanzania, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt....

WATUHUMIWA 69 WA MAKOSA MBALIMBALI WAKAMATWA MKOANI TANGA

0
Na Boniface Gideon, TANGA Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linaendelea kutekeleza majukumu yake ya kulinda usalama wa raia na mali zao, ambapo katika kipindi...

PWANI YETU YAWAPA KICHEKO WAKAZI WA MWAMBANI, TANGA

0
Na Boniface Gideon, TANGA Wakazi wa Kata ya Tanga Sisi, mtaa wa Mwambani Jijini Tanga, wamepatiwa shilingi milioni 10.5. Fedha hizo zinalenga kuwaongezea mitaji wavuvi...