TBS WATOA ELIMU YA VIWANGO KWA WAJASIRIAMALI MAONESHO YA SABASABA 2026 , WAPATA MUITIKIO...
Na Mwandishi Wetu.
Dar es Salaam. Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuonyesha dhamira yake ya kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kutumia Maonesho ya...
SERIKALI KUENDELEA KUWAUNGA MKONO WAZALISHAJI WA NDANI
Serikali imeahidi kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani ili kuongeza uwezo wa uzalishaji na kukuza mauzo ya bidhaa nje ya nchi hatua inayolenga kuimarisha...
UTAFITI WA KIMATAIFA WAITAMBUA WRRB KWA KUIMARISHA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA
Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kufanikisha utafiti kuhusu maboresho ya kisasa ya mnyororo wa...
WAZIRI SANGU AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WAMOWASALAT QATAR
✅ Wajadili Fursa za Ajira kwa Madereva wa Kitanzania
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu amekutana...
WAZIRI SANGU AHIMIZA NIDHAMU NA UWAJIBIKAJI KWA WAFANYAKAZI WA KITANZANIA NCHINI QATAR
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akizungumza na Wafanyakazi Madereva wa Kitanzania wanaofanya kazi katika...








