Home 2026
Yearly Archives: 2026
CMSA YAHIMIZA WANANCHI KUWEKEZA KUPITIA MIFUMO RASMI YA MASOKO YA MITAJI
Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imewahimiza wananchi kutumia mifumo rasmi ya uwekezaji ili kunufaika na fursa zinazotolewa katika soko la mitaji...
MIAKA 25 YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA, MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA KUJENGA RASILIMALIWATU...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza wakati wa hafla ya kilele cha...
WIZARA YA FEDHA YASISITIZA ELIMU YA FEDHA KUKUZA UCHUMI WA NCHI IFIKAPO 2050.
Na. Saidina Msangi na Asia Singano, WF, Dar es Salaam.
Wizara ya Fedha imebainisha kuwa imeelekeza bajeti yake katika kumwezesha mwananchi kiuchumi, ikilenga kufikia malengo...
WAZIRI SANGU: TAASISI ZA DINI NI NGUZO YA AMANI, MAADILI NA MALEZI BORA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu, akihutubia waumini na wageni mbalimbali wakati wa Maadhimisho ya...
WAZIRI SANGU: TAASISI ZA DINI NI NGUZO YA AMANI, MAADILI NA MALEZI BORA
Na: OWM (KAM), Manyoni - Singida
Serikali imesema inatambua mchango mkubwa wa taasisi za dini katika kuimarisha huduma za kijamii kudumisha amani na kukuza maadili...
DCEA YAKAMATA TANI 22.6 ZA DAWA ZA KULEVYA NDANI YA MIEZI MIWILI
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata tani 22.6 za dawa za kulevya, lita 30.5...
DCEA YATUMIA SABASABA KUIMARISHA ELIMU DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
WANANCHI wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) mwaka huu watapata fursa ya...
TTCL YAENDELEA KUWEKEZA KATIKA VITENDEA KAZI, YAKABIDHI MAGARI SITA
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kutekeleza mkakati wake wa kuboresha mazingira ya kazi kwa kukabidhi magari sita (6) mapya yenye thamani ya Shilingi...
MFUMO WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA WAIMARISHA UPATIKANAJI, UDHIBITI WA BEI NA MAPATO YA...
Na Mwandishi Wetu
Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (Petroleum Bulk Procurement Agency - PBPA) umesema mfumo wa uagizaji wa mafuta kwa pamoja umeendelea...
KABUDI: USAFI WA MAZINGIRA SASA NI AJENDA YA KIMKAKATI YA MAENDELEO YA TAIFA
KATIKA hatua inayoashiria mabadiliko ya kimkakati katika usimamizi wa mazingira nchini, Serikali imeweka bayana mwelekeo mpya wa kuimarisha usafi wa mazingira kama nyenzo muhimu...













