Home 2026
Yearly Archives: 2026
BANGU AWATAKA WAENDESHA GHALA KUIMARISHA UADILIFU NA UWAJIBIKAJI
Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw. Asangye Bangu, amewataka waendesha maghala kuzingatia uadilifu, uwajibikaji na utoaji wa huduma bora...
BARAZA LA FAMASI LAIMARISHA USHIRIKIANO NA WAANDISHI WA HABARI
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Baraza la Famasi limeanzisha mkakati wa kuimarisha ushirikiano na wahariri na waandishi wa habari nchini kwa kuwajengea uelewa kuhusu...
KAPINGA: MAONESHO YA SABASABA YAONESHA MAFANIKIO
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb) , amesema Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yameonyesha...
TANZANIA, MAREKANI ZASAINI HATI YA MAKUBALIANO (MoU) ZA DOLA BILIONI 3.14 KUIMARISHA SEKTA YA...
Serikali ya Tanzania na Marekani zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Afya (MoU) ya miaka mitano yenye thamani ya zaidi ya...
KAFULILA KUONGOZA MHADHARA MAALUM WA UBIA MBEYA
Wananchi, wanafunzi, wataalamu, wawekezaji na wadau mbalimbali wa maendeleo wanatarajiwa kukutana jijini Mbeya Julai 3, 2026, katika mhadhara maalum wa hadhara utakaolenga kujadili nafasi...
EWURA YAKABIDHI GAWIO LA BILIONI 10.6 KWA RAIS SAMIA
Naibu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya EWURA, Mha. Ngosi Mwihava (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Ndg. Gerald Maganga (Kulia) wakimkabidhi Mh....
BEI MPYA ZA MAFUTA ZATANGAZWA
Habari njema kwa watumiaji wa mafuta nchini. Kuanzia Jumatano, tarehe 01 Julai 2026, bei kikomo za bidhaa za petroli zimeshuka kutokana na kupungua kwa...
DKT MWIGULU: SERIKALI INAENDELEA KUIMARISHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya biashara, uwekezaji na viwanda kwa kufanya mageuzi ya sera, sheria, kanuni na mifumo...
RAIS SAMIA APOKEA GAWIO LA SH. BILIONI 15 KUTOKA TIPER
Rais wa Jamhuri ya Muungwana wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan (katikati)akikabidhiwa gawio la Sh.bilioni 15 kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tiper Balozi Mathias...
TBS KANDA YA MASHARIKI WATEKETEZA NGUO ZA NDANI ZA MITUMBA , RANGI , VIPODOZI...
Na Mwandishi Wetu.
MKURANGA, PWANI, Juni 30, 2026 – Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Mashariki, inayohudumia mikoa ya Pwani, Morogoro na Tanga, limeteketeza...













