WAZIRI MKUU MAJALIWA ATOA AJIRA KWA MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU HURIA MWENYE ULEMAVU WA...
Na Magreth Mbinga
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa amekipongeza Chuo Kikuu hHuria cha Tanzania kupitia kitengo cha teknolojia kwa...
WAZIRI NDALICHAKO: SERIKALI KUJENGA VITUO VITANO VYA KULEA UJUZI WA VIJANA NCHINI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amesema kwa mwaka wa fedha 2022/23, serikali...
SERIKALI KUPITIA KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC) YAPOKEA UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA NCHI YA...
Serikali kupitia kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) yapokea ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchi ya falme za kiarabu ya Oman ambao wamekuja nchini kuangalia maeneo...
CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) KIKUBWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI
Na Magreth Mbinga
Mkurugenzi wa shahada za awali Dodoma (UDOM) Dk Victor George Marealle amesema chuo hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kilianza mwaka...
VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA WAHIMIZWA KUSIMAMIA USAFI WA MAZINGIRA ILI KUANGAMIZA MAZALIA YA...
Na. Catherine Sungura, Tanga
Viongozi wa Serikali za Mitaa nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha wananchi kufanya usafi wa mazingira kwenye maeneo yao...
PROF MKENDA AANZA ZIARA YA SIKU SABA ROMBO, RAIS SAMIA ATOA BIL. 10 MRADI...
Na Mathias Canal, Rombo
Mbunge wa Jimbo La Rombo ambaye ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda leo tarehe 19 Julai...
TCU ONGEZENI UDHIBITI WA UBORA WA VYUO VIKUU
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) iongeze jitihada katika udhibiti wa ubora wa vyuo vikuu nchini ili kuhakikisha kuwa...
CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR (SUZA) KINATOA WATAALAMU WENGI ZAIDI HASA KATIKA FANI YA KISWAHILI
Na Magreth Mbinga
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kimewekeza zaidi katika sekta ya elimu hasa kuwatengeneza vijana kuweza kujiajiri wenyewe wanapo maliza msomo...
RC MTAKA ATOA NENO UJIO WA NBC DODOMA MARATHON 2022
Dodoma, Jumatatu, Julai 18, 2022. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi kwa makala ya tatu ya mbio za NBC Dodoma Marathon zinazotarajiwa kufanyika...
MAKAMU WA RAIS ATAKA MIRADI YA MAJI KUKAMILISHWA MKOANI KILIMANJARO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameitaka Wizara ya Maji kuhakikisha mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe pamoja...













