MBUNGE AREJESHA TABASAMU KWA WANAFUNZI WALIOPATA AJALI YA MOTO/ WADAU WAMUUNGA MKONO.
Akiongea mara baada ya kufika eneo la tukio, Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi Mhe. Mhandisi Ezra Chiwelesa amesikitishwa na hali aliyoikuta shuleni hapo...
APONGEZA JITIHADA ZA WIPO KUENDELEZA UBUNIFU
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa amepongeza Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kwa jitihada...
CHUO KIKUU CHA SUZA KUUNGA MKONO SERIKALI KUPITIA SEKTA YA ELIMU CHAJA KIVINGINE...
Pichani Mkurugenzi wa Kozi za Shahada na zisizokuwa za Shahada wa Chuo Kikuu cha Katoliki Ruaha( RUCU) Dkt Wille Migodela (wakatikati) akifuatilia maelekezo yanaoyotolewa...
KATIBU MKUU DKT. JINGU AHIMIZA UFANISI UJENZI WA MJI WA SERIKALI
NA. MWANDISHI WETU
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu azitaka Wizara zote kuhakikisha zinasimamia ufanisi...
OSHA YAJIPANGA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI
Na Mwandishi Wetu
Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeelezea nia yake ya kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara nchini kupitia uimarishaji...
MBUNGE WA GEITA MJINI CONSTANTINE KANYASU ATOA MILIONI 30 KUDHAMINI LIGI DARAJA LA NNE...
Na.:Costantine James, Geita.
Katika hali ya kuibua, kuendeleza na kukuza vipaji kwa vijana mbalimbali mkoani Geita mbunge wa jimbo la Geita mjini Mhe, Constantine Kanyasu...
VIKUNDI 32 KUNOGESHA TAMASHA LA 13 LA MUZIKI WA KIGOGO 2022
Na: Mwandishi Wetu, Chamwino.
ZAIDI ya vikundi 32 vya Sanaa ya ngoma vinatarajia kushiriki Tamasha la msimu wa 13 la muziki wa Wagogo (Cigogo Music...
DAR KUJA NA KAMPENI YA UFANYAJI WA USAFI KIVINGINE
NA: MUSSA KHALID
Mkoa wa Dar es salaam umeanzisha mbinu mpya ya ufanyaji wa usafi kwenye barabara zote zinazozunguka mji huo kuanzia July 30 mwaka...
WAZIRI BASHUNGWA AWATAKA WALIMU KUJIWEKEENI MALENGO BINAFSI YA UFUNDISHAJI NA UFAULISHAJI.
Na: Silvia Mchuruza,Karagwe, Kagera.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa ametoa wito kwa walimu wote...













