Wawekezaji wazawa wakoshwa na Mazingira rafiki ya Biashara nchini
Na Neema Kandoro, Mwanza
BAADHI ya wawekezaji wazawa Jijini Mwanza wamepongeza serikali ya awamu ya sita kwa kuweka mazingira rafiki ambayo yamewafanya kumudu kuanzisha miradi...
ELIMU YA UNYANYAPAA NA UBAGUZI KWA WALIOATHIRIWA NA MARBURG YATOLEWA KWA WAANDISHI WA HABARI
Na Theophilida Felician Kagera.
Shirika la KAMEA linalojihusisha na masuala ya huduma ya vyombo vya habari limetoa mafunzo kwa waandishi wa habari juu ya dhana...
TAKUKURU MARA YATAKA VIFAA VISIVYO NA UBORA KUTOTUMIKA KWENYE MIRADI
Na Shomari Binda-Musoma
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Mara limesimama kidete kuhakikisha vifaa visivyokuwa kuwa na ubora kutumika kwenye miradi...
JESHI LA POLISI MKOA WA MARA LAWATAKA WAHALIFU KUTAFUTA KAZI ZA KUFANYA
Na Shomari Binda-Musoma
JESHI la polisi mkoa wa Mara limewataka wale wote wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu watafute kazi halali za kufanya kwa kuwa wataishia...
RC MTANDA ATAKA UKATILI DHIDI YA WAZEE UDHIBITIWE
Na Shomari Binda-Musoma
MKUU wa mkoa wa Mara,Said Muhamed Mtanda, amesema wazee wanapaswa kupewa huduma stahiki na kudhibiti masuala ya ukatili dhidi yao.
Kauli hiyo ameitoa...
MAGUNIA 931 YA BANGI YAKAMATWA, HEKARI 953 ZATEKETEZWA, 16 MBARONI ARUSHA
Tazama Video Operesheni Tokomeza Bangi Arusha ambapo Magunia 931 yamekamatwa, Hekari 953 zimeteketezwa na watuhumiwa 16 wamekamatwa
Na Mwandishi wetu - Arusha
Kufuatilia operesheni maalumu ya...
BRELA YAWANOA WAHARIRI NA WAANDISHI WA HABARI
Na Magrethy Katengu
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania TEFF Deodatus Balile amesema Vyombo vya habari ni nyenzo muhimu kusaidia wananchi kupata taarifa sahihi hivyo...
Magu waweka mikakati kuondosha alama sufuri mashuleni
Na Neema Kandoro,Magu
WADAU wa sekta ya elimu wilayani Magu Mkoani Mwanza wamevutiwa na juhudi za walimu kwenye shule za sekondari kwa kuweka mikakati ya...
MAHIMBALI ATOA WITO KWA WACHIMBAJI WADOGO KUITUMIA WIZARA
Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali amewataka Wachimbaji Wadogo kupitia Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini Tanzania (FEMATA) kushirikiana na Wizara...
SIKU 100 ZA KATIBU MKUU MADINI MADARAKANI
Aeleza Mipango Kabambe Kuifungua Sekta ya Madini
Aweka Kicheko kwa Watumishi, Wadau
Waziri Biteko Ataka Sekta ya Madini kuchangia Zaidi Fedha za Kigeni
Dodoma
Zikiwa zimetimia Siku 100...













