Friday, June 26, 2026
Home 2023 June

Monthly Archives: June 2023

WASHINDI WA TATHMINI YA UBORA WA HUDUMA HOSPITAL YA RUFAA MARA WAPEWA ZAWADI

0
Na Shomari Binda-Musoma IDARA ya ubora wa huduma hospitali ya rufaa mkoa wa Mara imetoa zawadi kwa washindi wa tathmini ya ubora wa huduma ambapo...

BRELA YAWAITA WAFANYABIASHARA KUSAJILI BIASHARA ZAO

0
Na Boniface Gideon, TANGA WAKALA wa usajili wa biashara na leseni ‘BRELA’ imewataka wafanyabishara wote wakubwa, wakati na wadogo waliopo katika maeneo mbalimbali hapa nchini...

SERIKALI YAELEKEZA MILIONI 573 UJENZI WA WANYERE SEKONDARI

0
Na Shomari Binda-Musoma SERIKALI kupitia bajeti ya mwaka 2023/2024 ya Ofisi ya Rais (TAMISEMI) itatoa kiasi cha shilingi milioni 573 kupitia mradi wake wa SEQUIP...

Shirika la Americares lamwaga vifaa vyenye thamani ya Tsh Milioni 234 Bugando

0
Na Sheila Katikula, Mwanza Shirika la Americares limetoa vifaa tiba vya upasuaji wa ugonjwa wa fistula ya uzazi vyenye thamani ya sh Milioni 234.2 kwenye...

TENGENI BAJETI YA PROGRAMU JUMUISHI- DKT. GWAJIMA

0
Rai imetolewa kwa Wataalamu wa Mipango na Uratibu katika Sekretarieti za Mikoa kuhakikisha wanatenga bajeti za utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Makuzi na...

ACT WAZALENDO YASHAURI SERIKALI KUSHUSHA GHARAMA YA NISHATI MBADALA

0
Na Magrethy Katengu Chama cha ACT wazalendo kimeishauri serikali kuangalia namna bora ya kusaidia Wananchi wanaoshindwa kumudu gharama za kununua nishati mbadala ikiwemo gesi ili...

DKT. KIRUSWA ATOA ONYO KWA WAFANYABISHARA WA MADINI YA JASI

0
Awataka kufuata bei elekezi ya Madini ya Jasi Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ametoa onyo kwa Wafanyabishara wa Madini ya Jasi kufuata bei...

NDEGE MPYA YA MIZIGO YAKABIDHIWA KWA WAKALA WA NDEGE ZA SERIKALI TANZANIA

0
Kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing ya nchini Marekani imekabidhi ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F kwa Wakala wa Ndege za Serikali Tanzania...

WAZIRI MKUU AKIJIBU MASWALI YA PAPO KWA HAPO BUNGENI

0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akijibu maswali ya Wabunge, Bungeni Jijini Dodoma, Mei 31, 2023 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza swali kutoka kwa Mbunge wa Viti...