Friday, June 26, 2026
Home 2023 June 2

Daily Archives: June 2, 2023

Bodi ya Pamba kuendelea kutoa Elimu ya kuongeza uzalishaji

0
BODI ya Pamba nchini itaendelea kuweka jitihada za kumwezesha mkulima kupata kiasi kikubwa cha mavuno kwenye zao la pamba kuondokana na changamoto zinazowakumba wakulima...

TANZANIA NI SALAMA, KAGERA NI SALAMA HAKUNA TENA UGONJWA WA MARBURG

0
Na WAF- Bukoba Kagera. Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu ameutarifu umma wa Watanzania na Ulimwengu kwa ujumla kuwa Tanzania imeweza kupambana na kudhibiti ugonjwa...

Tanzania Yavuka lengo la Mkakati wa Kitaifa wa Kuhifadhi Faru

0
Na Jacquiline Mrisho Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema kuwa idadi ya faru weusi imeendelea kuongezeka kutoka 163 mwaka 2019 hadi 238...

WADAU WA MAONYESHO YA BIASHARA SABASABA 47 WAJIPANGA KIPEKEE; KARIBU USISUBIRIE KUSIMULIWA

0
Na Magrethy Katengu Wadau wa Maonyesho ya biashara wamesema mwaka huu katika sabasaba itakiwa ya kipekee hivyo kutakuwa na fursa nyingi Tan trade wameandaa mabanda...

WASHINDI WA TATHMINI YA UBORA WA HUDUMA HOSPITAL YA RUFAA MARA WAPEWA ZAWADI

0
Na Shomari Binda-Musoma IDARA ya ubora wa huduma hospitali ya rufaa mkoa wa Mara imetoa zawadi kwa washindi wa tathmini ya ubora wa huduma ambapo...

BRELA YAWAITA WAFANYABIASHARA KUSAJILI BIASHARA ZAO

0
Na Boniface Gideon, TANGA WAKALA wa usajili wa biashara na leseni ‘BRELA’ imewataka wafanyabishara wote wakubwa, wakati na wadogo waliopo katika maeneo mbalimbali hapa nchini...

SERIKALI YAELEKEZA MILIONI 573 UJENZI WA WANYERE SEKONDARI

0
Na Shomari Binda-Musoma SERIKALI kupitia bajeti ya mwaka 2023/2024 ya Ofisi ya Rais (TAMISEMI) itatoa kiasi cha shilingi milioni 573 kupitia mradi wake wa SEQUIP...

Shirika la Americares lamwaga vifaa vyenye thamani ya Tsh Milioni 234 Bugando

0
Na Sheila Katikula, Mwanza Shirika la Americares limetoa vifaa tiba vya upasuaji wa ugonjwa wa fistula ya uzazi vyenye thamani ya sh Milioni 234.2 kwenye...

TENGENI BAJETI YA PROGRAMU JUMUISHI- DKT. GWAJIMA

0
Rai imetolewa kwa Wataalamu wa Mipango na Uratibu katika Sekretarieti za Mikoa kuhakikisha wanatenga bajeti za utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Makuzi na...

ACT WAZALENDO YASHAURI SERIKALI KUSHUSHA GHARAMA YA NISHATI MBADALA

0
Na Magrethy Katengu Chama cha ACT wazalendo kimeishauri serikali kuangalia namna bora ya kusaidia Wananchi wanaoshindwa kumudu gharama za kununua nishati mbadala ikiwemo gesi ili...