WATUHUMIWA 59 MBARONI MATUKIO YA KIHALIFU
Na Magrethy Katengu
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Mkoa wa Dar es salaam linawashikilia Watuhumiwa 59 kwa makosa mbalimbali ikiwemo Unyang'anyi, kuvunja nyumba usiku...
BRELA YAWAJENGEA UWEZO MAAFISA BIASHARA KULEA WAFANYABIASHARA
Na Shomari Binda-Musoma
MAAFISA biashara 138 kutoka mikoa 10 hapa nchini wametakiwa kuwa marafiki wa wafanyabiashara na sio maadui katika kuinua uchumi wa taifa.
Licha ya...
TAASISI ZA FEDHA ZAHIMIZWA KUISAIDIA SERIKALI KUKUSANYA NA KUTUNZA TAARIFA ZA WAMILIKI MANUFAA WA...
Taasisi za kifedha nchini zimehimizwa kuisaidia Serikali kukusanya na kutunza taarifa za Wamiliki Manufaa wa Kampuni kwa kuwa wanazitambua kampuni hizo kupitia huduma mbalimbali...






