DIT KUZALISHA WATAALAM WENGI KUPITIA UJENZI WA KITUO CHA UMAHIRI WA TEHAMA , PROF....
Na Mwandishi Wetu.
https://www.youtube.com/embed/MXWC9FnM6PM
Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) inatarajia kutoa wataalam wa kutosha katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), ngozi...
DIT WATOA MAFUNZO YA TEHAMA KWA WALIMU HUSUSAN MATUMIZI YA VISHIKWAMBI ( + VIDEO...
https://www.youtube.com/embed/D9rtJe5j4EE
TAASISI ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) imeanza kutoa mafunzo kwa walimu waliopatiwa vishkwambi baada ya kubaini baadhi yao wakiwaachia watoto wachezee badala ya...
NEF, STEM PARK ZATOA TUZO WALIMU WAKIKE WALIOFANYA VIZURI UFUNDISHAJI SAYANSI TANGA JIJI
Na Boniface Gideon, TANGA
Shirika la Next Einstein Forum (NEF) kwa kushirikiana na kituo cha Sayansi Tanga cha Stem Park pamoja na Halmashauri ya jiji...
TANZANIA NA ITALIA ZATILIANA SAINI YA MSAADA KUWEZESHA USAJILI WA WATOTO
Tanzania na Italia, kupitia Shirika lake la Maendeleo (AICS), zimetiliana saini mkataba wa msaada wa Euro 410,000 (sawa na shilingi Bilioni 1) kwa ajili ya programu ya kuimarisha mfumo...
Wizara ya Habari, eGA Wawanoa Maafisa Habari Uingizaji Taarifa Tovuti Kuu ya Serikali
Na Jacquiline Mrisho - MAELEZO
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kupitia Idara ya Habari - MAELEZO kwa kushirikiana na Mamlaka ya Serikali...
ILEMBO YAJIPANGA KUENDELEZA UBINGWA WATAKAOACHIWA NA MADAKTARI BINGWA WA MAMA
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO
Mganga Mkuu wa Manispaa ya Mpanda iliyopo mkoani Katavi, Dkt. Paul Swakala amesema anatarajia baada ya watumishi wa afya wa...
KANISA LAZUNGUSHIA UZIO ZAHANATI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI
Na Shomari Binda- Musoma
KANISA la New Life Gospel Community Church (NLGCC) maarufi kama "Bonde la Baraka" lenye makao makuu mjini Musoma, limeunga mkono juhudi...
TANTRADE YAPOKEA VIZIMBA VYA MABANDA YA KISASA KWA AJILI YA MAONESHO YA 47 YA...
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) Bi. Latifa Khamis leo tarehe 22 Juni, 2023 amepokea udhamini wa Viti, Meza na...











