MCHATTA: MIFUMO RASMI ITUMIKE KUBORESHA KAZI ZA SERIKALI
Na. OMM Rukwa
Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Rashid Mchatta amewataka watumishi wa umma kutumika mifumo rasmi ya uendeshaji shughuli za serikali ikiwemo mabaraza ya...
WAZIRI MKUU ATEMBELEA ENEO YANAPOJENGWA MABEHEWA YA SGR
*Ni yale yanayotengenezwa nchini Korea Kusini kwa ajili ya SGR
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo na kasi ya ujenzi wa mabehewa mapya...
TIGO NA XIAOMI WAZINDUA SIMU HII KALI
Na Mwandishi Wetu
• Wateja kupata hadi GB 66 za intaneti kutoka TIGO bila malipo kwa mwaka mzima.
Dar es Salaam. Tarehe 25 Oktoba, 2022. Kampuni...
SERIKALI YAIFUNGIA SHULE YA CHALINZE MODERN ISLAMIC KUWA KITUO CHA MTIHANI KWA MUDA USIOJULIKANA
Na Mathias Canal, WEST-Dar es salaam
Kwa mujibu wa kifungu cha 4(8) cha kanuni za mitihani 2016, Serikali imeifungia shule ya Awali na Msingi Chalinze...







