WAKALA WA MAABARA YA VETERINARI TANZANIA YAPOA MSAADA WA FIMBO ZA KUTEMBELEA KWA WALEMAVU...
Na Magreth Mbinga
Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania wametoa fimbo za kuwasaidia walemavu wa macho kutembea ikiwa ni kurudisha kwa jamii kama shukrani kwa...
KAMPASI YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KUJENGWA KIGOMA-WAZIRI MKENDA
Na Mathias Canal, WEST-Kigoma
Serikali kupitia Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) ina mpango wa kuanzisha kampasi ya MUHAS mkoani Kigoma.
Kampasi hii...
WAZIRI SIMBACHAWENE AWAPA KONGOLE TIMU ZA MICHEZO OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe: George Simbachawene amezipongeza timu za michezo za ofisi ya Waziri Mkuu kwa...
BODI YA FILAMU YAWAITA WASANII KUWASILISHA KAZI ZAO KUWANIA TUZO DESEMBA 2022 ARUSHA.
NA BONIFACE GIDEON, TANGA
Bodi ya Filamu Tanzania leo mkoani Tanga imeanza zoezi la ukusanyaji wa kazi za sanaa za wasanii wa filamu mbalimbali hapa...
PROF. KITILA MKUMBO AJIVUNIA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA UBUNGO
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Prof. Kitila Mkumbo amesema Serikali inaendelea kufanya maboresho ya miundombinu ya barabara katika Jimbo la Ubungo ili kuhakikisha zinapitika...








